mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,624
Kwani wewe mkuu ume sikia kapangwa wapi?
Kituko kwa hiyo kufanya kazi hadi kupangiwa tena...CV si ipo ni kuisambaza basi kama kazi hakuna kupangwa kwake yeye...
Kweli mlizoea vibaya...hahahaaaaaa
Kazi zipo nyingi hata kilimo...tena Iringa vitunguu unakuwa millionea haraka