Yani atakama una kaofisi kako binafsi ukaomba ufadhili sehemu fulani ukapewa hela uanze utakelezaji wa mradi alafu ukashindwa kufanya siku wale waliokupa pesa wanakuja kukutembelea waone umeikia hatua gani katika utekelezaji wako alafu wanakuta hakuna ulichofanya ata kimoja na hela umeshapewa miezi 10 nyuma! Aisee wanaichukua hela yao.sio kweli kuwa wilaya ya ilala imeshindwa kuzitumia,ila kuna kitu wanaficha,all in all who is affected by that decision?