MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,057
- 49,816
Kama kawaida, wanasiasa wametupea manifesto zao na uhakika ni kwamba raia wengi huwa hawazisomi. Na pia hapo tulipo sasa ni wachache watabadilisha maamuzi yao kwa kusoma manifesto. Lakini pamoja na yote, kuna wale tunazisoma na kuzidadavua.
Binafsi nimesoma zote mbili na haya hapa ndio mambo niliyoyaona humo, kuna mengine ya kawaida kama miundo mbinu sijayataja.
Wadau tunaweza tukazijadili bila mihemko ya uchama, una uhuru wa kuongeza au kunikosoa.
Nitaendelea kuongeza kadiri ninavyochambua ilani zote mbili
Raila
- Ataboresha ukulima wenye kuzingatia mifumo ya kisasa ili kuhakikisha chakula kwa wingi
- Atapigana na ufisadi na kuhakikisha maadili kwa jamii
- Atapambana na wapiga dili wale wa 10%
- Atajizuia na ukopaji wa madeni
- Ataboresha soko la ajira
- Elimu ya bure hadi kuanzia chekechea hadi sekondari
- Ataondoa jeshi la KDF Somalia
- Ataongeza idadi ya polisi
Uhuru
- Ataboresha soko la ajira
- Vijana wote baada ya chuo watapata mishahara kwa mwaka mmoja hadi pale watapata ajira, na watakua wakipitia mafunzo fulani
- Malipo ya 'Inua Jamii' yatawafikia wazee wote waliozidi miaka 70 na hawana namna kimaisha
- Elimu ya bure hadi sekondari
- Umeme kwa kila nyumba
- Boresha miradi ya unyweshaji alioanzisha ili kuhakikisha chakula
- Ataendelea kuboresha ulinzi kwa kuongeza vitendea kazi
Binafsi nimesoma zote mbili na haya hapa ndio mambo niliyoyaona humo, kuna mengine ya kawaida kama miundo mbinu sijayataja.
Wadau tunaweza tukazijadili bila mihemko ya uchama, una uhuru wa kuongeza au kunikosoa.
Nitaendelea kuongeza kadiri ninavyochambua ilani zote mbili
Raila
- Ataboresha ukulima wenye kuzingatia mifumo ya kisasa ili kuhakikisha chakula kwa wingi
- Atapigana na ufisadi na kuhakikisha maadili kwa jamii
- Atapambana na wapiga dili wale wa 10%
- Atajizuia na ukopaji wa madeni
- Ataboresha soko la ajira
- Elimu ya bure hadi kuanzia chekechea hadi sekondari
- Ataondoa jeshi la KDF Somalia
- Ataongeza idadi ya polisi
Uhuru
- Ataboresha soko la ajira
- Vijana wote baada ya chuo watapata mishahara kwa mwaka mmoja hadi pale watapata ajira, na watakua wakipitia mafunzo fulani
- Malipo ya 'Inua Jamii' yatawafikia wazee wote waliozidi miaka 70 na hawana namna kimaisha
- Elimu ya bure hadi sekondari
- Umeme kwa kila nyumba
- Boresha miradi ya unyweshaji alioanzisha ili kuhakikisha chakula
- Ataendelea kuboresha ulinzi kwa kuongeza vitendea kazi