Mangungu hana makosa yeyote

Mangungu hana makosa yeyote

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,199
I will be short

Nitasimama kwenye haki, na kwenye haki Mangungu hana makosa kabisa. 1 good reason, Mangungu hana Sauti kubwa Simba kama mashabiki wanavyodhani, In short bodi inayoteuliwa na tajiri ndio wanatatizo. mangungu yupo kusema sawa tu.

Mangungu 2029
 
Utopolo mnamtetea mtu wenu
Mimi ni Mnyama, na inawezekana mwamba hapo juu ni Uto lakini alichosema ni sahihi! Katiba yetu ni ya ovyo sana! Wakati katiba ya Uto inasema Klabu ipo upande wa wanachama na Rais ndie Bosi, katiba yetu inasema Klabu ipo upande wa Simba Sports Club Company Limited, wakati Mangungu hayupo upande wa Simba Sports Club Company Limited bali yupo upande wa Simba Sports Club! Maamuzi ya Simba Sports Club yanafanyika na Bodi ya Simba Sports Club Company Limited ambako Mangungu anaingia kama Mjumbe tu! Inawezekana hujawahi kusoma katiba ya Simba lakini jiulize tu hivi kuna raha kama Kiongozi wa Klabu kuhusika moja kwa moja na usajili?! Je, kwenye usajili wa Simba umeshawahi kuona Mangungu yupo front seat? Binafsi sijawahi kuona kwa sababu hata usajili unafanywa na upande wa Simba Sports Club Company Limited, na ndo maana wanaoonekana kwenye hilo ni wale walio upande wa Simba Sports Club Company Limited kama vile Mo na Try Again wakati Uto Rais ambae ndie Bosi wa Young Africans Sports Club ndie pia anashughulika na masuala ya usajili! Hivi unafahamu hata Ahmed Ally ambae ni Msemaji wa Simba Sports Club bosi wake yupo upande wa Simba Sports Club Company Limited na sio Simba Sports Club?

Sasa tusiwe tunaongea kama watu wa Instagram au akina mama wa mtaani na badala yake tuongee kama GTs! Kwa mazingira kama hayo Mangungu unamlaumu vipi na matokeo mabaya ya Simba?
 
Mimi ni Mnyama, na inawezekana mwamba hapo juu ni Uto lakini alichosema ni sahihi! Katiba yetu ni ya ovyo sana! Wakati katiba ya Uto inasema Klabu ipo upande wa wanachama na Rais ndie Bosi, katiba yetu inasema Klabu ipo upande wa Simba Sports Club Company Limited, wakati Mangungu hayupo upande wa Simba Sports Club Company Limited bali yupo upande wa Simba Sports Club! Maamuzi ya Simba Sports Club yanafanyika na Bodi ya Simba Sports Club Company Limited ambako Mangungu anaingia kama Mjumbe tu! Inawezekana hujawahi kusoma katiba ya Simba lakini jiulize tu hivi kuna raha kama Kiongozi wa Klabu kuhusika moja kwa moja na usajili?! Je, kwenye usajili wa Simba umeshawahi kuona Mangungu yupo front seat? Binafsi sijawahi kuona kwa sababu hata usajili unafanywa na upande wa Simba Sports Club Company Limited, na ndo maana wanaoonekana kwenye hilo ni wale walio upande wa Simba Sports Club Company Limited kama vile Mo na Try Again wakati Uto Rais ambae ndie Bosi wa Young Africans Sports Club ndie pia anashughulika na masuala ya usajili! Hivi unafahamu hata Ahmed Ally ambae ni Msemaji wa Simba Sports Club bosi wake yupo upande wa Simba Sports Club Company Limited na sio Simba Sports Club?

Sasa tusiwe tunaongea kama watu wa Instagram au akina mama wa mtaani na badala yake tuongee kama GTs! Kwa mazingira kama hayo Mangungu unamlaumu vipi na matokeo mabaya ya Simba?
kabisa, they limit his powers then wanarahumu afanyi kazi,
 
Yanga inanyumbulika, juzi kwenye derby ilikuwa surprise , Yanga walicheza viungo 3 wakabaji Abuya, Aucho na Mudathir ikaua simba kabisa Yanga ikawa bingwa.
Alie karibu na Ngoma amwambie aache mara moja kumshambulia Camara , aambiwe tatizo la simba ni timu yao nzima kuzidiwa kimbinu na talents na Yanga , kila mechi ukianzia Zenj Ngoma anaonekana kumsukuma Camara kwa hasira, juzi yeye mwenyewe alizidiwa na kutambaa na Pacome akaenda kumalizia hasira kwa Camara wakati kama angemdhibiti Pacome asingefika golini na kugongana na Camara ikawa penati. Mimi ni uto lia lia na nimekasirishwa sana na Ngoma kumfanyia bullying Camara wakati timu nzima ni mdebwedo
 
Mimi ni Mnyama, na inawezekana mwamba hapo juu ni Uto lakini alichosema ni sahihi! Katiba yetu ni ya ovyo sana! Wakati katiba ya Uto inasema Klabu ipo upande wa wanachama na Rais ndie Bosi, katiba yetu inasema Klabu ipo upande wa Simba Sports Club Company Limited, wakati Mangungu hayupo upande wa Simba Sports Club Company Limited bali yupo upande wa Simba Sports Club! Maamuzi ya Simba Sports Club yanafanyika na Bodi ya Simba Sports Club Company Limited ambako Mangungu anaingia kama Mjumbe tu! Inawezekana hujawahi kusoma katiba ya Simba lakini jiulize tu hivi kuna raha kama Kiongozi wa Klabu kuhusika moja kwa moja na usajili?! Je, kwenye usajili wa Simba umeshawahi kuona Mangungu yupo front seat? Binafsi sijawahi kuona kwa sababu hata usajili unafanywa na upande wa Simba Sports Club Company Limited, na ndo maana wanaoonekana kwenye hilo ni wale walio upande wa Simba Sports Club Company Limited kama vile Mo na Try Again wakati Uto Rais ambae ndie Bosi wa Young Africans Sports Club ndie pia anashughulika na masuala ya usajili! Hivi unafahamu hata Ahmed Ally ambae ni Msemaji wa Simba Sports Club bosi wake yupo upande wa Simba Sports Club Company Limited na sio Simba Sports Club?

Sasa tusiwe tunaongea kama watu wa Instagram au akina mama wa mtaani na badala yake tuongee kama GTs! Kwa mazingira kama hayo Mangungu unamlaumu vipi na matokeo mabaya ya Simba?
Wewe ni sehemu ya tatizo pia
 
Screenshot_20250614-140554.jpg
 
Simba akishinda sifa zote anapewa mo Ila ikifungwa lawama kwa Mangungu.
Hata wakati Simba Ina Hali mbaya ilikuwa haifungwi hovyo na yanga.
Mambo sisi tupo kimataifa zaidi yanasemwa na watu wasio na uchungu na timu wapi kimaslahi zaidi.
 
I will be short

Nitasimama kwenye haki, na kwenye haki Mangungu hana makosa kabisa. 1 good reason, Mangungu hana Sauti kubwa Simba kama mashabiki wanavyodhani, In short bodi inayoteuliwa na tajiri ndio wanatatizo. mangungu yupo kusema sawa tu.

Mangungu 2029
Mchukueni nyie utopolo
 
YES Shimba ya Buyenze ndio Pascal Mayalla. Jamaa kumbe ni mweupe sana kwenye attacking mpaka amejulikana
Wewe umegunduaje kuwa hao ni mtu mmoja? Kama ni hivyo basi Paschal ni mtu mzima. Jaribu kumheshimu kidogo maana nimekuona unamvunjia heshima kwa kumjibu vibaya na kumlima dislikes nyingi. Hata kama mlikosana sameheaneni tu maana maisha ni haya haya bana! 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom