Mangula ndio amekwisha kabisa kisiasa?

Mangula ndio amekwisha kabisa kisiasa?

uwongo umefika mwisho sasa hivi.Ndio maana wamekwisha kabisa huruma ccm imepotea machoni mwa watanzania
 
Baadhi ya wanaCCM
tuliamini kuwa kurudi kwa Philips Mangula katika medani za juu za
uongozi wa CCM kungeleta mwamko mpya, mabadiliko makubwa na hamasa
kubwa kwa CCM, lakini hali imekuwa tofauti kabisa.

Mangula hana kazi yoyote ya maana ambayo amefanya ndani ya CCM mpaka
sasa, lakini pia kifikra na kujieleza Mangulla amechoka sana kama
tulivyomshuhudia jana kwenye runinga wakati wa mjadala wa kipindi cha
Uzalendo.

CCM ndani kwa ndani tumechoka mno na kwa nje tunazidi kuchokwa zaidi.
Binafsi sioni hatua zozote za maana zinazofanywa na viongozi wa juu wa
CCM hususani Philips Mangula kunusuru hali hii.
Je, hali hii inaashiria kwisha kabisa kisiasa kwa Mangula?

hivi SAID ARFI, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, amefanya nini tangu achaguliwe. me nadhani ni makosa kuhoji kazi za makamu mwenyekiti wakati mwenyekiti mwenyewe yupo
 
uwongo umefika mwisho
sasa hivi.Ndio maana wamekwisha kabisa huruma ccm imepotea machoni mwa
watanzania

mkuu, ni makosa kabisa kuamini kuwa ccm haikubaliki na watanzania wengi. uchache wenu humu jf usiwape kiburu kuwa huko nje pia mnavuma
 
hivi SAID ARFI, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, amefanya nini tangu achaguliwe. me nadhani ni makosa kuhoji kazi za makamu mwenyekiti wakati mwenyekiti mwenyewe yupo

Mbwembwe zake wakati anateuliwa kuwa makamu mwenyekiti umesha sahau mkuu?maana alituahidi ndani ya miezi 6 angekuwa kaisafisha ccm lkn now ni 8 month hakuna kinachoendelea zaidi
 
mkuu, ni makosa kabisa kuamini kuwa ccm haikubaliki na watanzania wengi. uchache wenu humu jf usiwape kiburu kuwa huko nje pia mnavuma

Uchache ama uwingi wetu?
Acha kuweweseka ndg
 
hivi SAID ARFI, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, amefanya nini tangu achaguliwe. me nadhani ni makosa kuhoji kazi za makamu mwenyekiti wakati mwenyekiti mwenyewe yupo

Lizaboni kwa hiyo unataka kumlinganisha makamu mwenyekiti wa CCM Philip Mangula na yule wa CHADEMA Said Arf? Kweli CCM ndio tumefikia hapo?

Okay Pro CHADEMA watakuja kutueleza wenyewe maana mimi sifuatilii sana mambo ya uongozi ya CHADEMA, zaidi nafuatilia ya Chama changu cha CCM.
Lakini yote kwa yote wapinzani wetu wa CHADEMA wanazidi kunawili kila siku wakati CCM tunazidi kudorora tu, sasa Mangula ambaye tulimtegemea sana kukirudisha chama chetu kwenye mstari mbona kimya?
 
Last edited by a moderator:
Mi naona wamwache mzee wa watu akapumnzike! CCM ilishapoteza dira na mwelekeo siku nyingi sana
 
Mbona yule kusnei, wewe just imagine kuwa hata yeye anpata nafasi halafu anaishangaa sasa wewe unadhani kuna kazi hapo tena? jamaa kaenda kuendelea na vibarua vyake vya kulima vijaruba vya mpunga na "ticha".
 
Sijui kilichompata Mangula but whatever it is isn't good at all for CCM. Contrary to everybody's expectation Mangula so far has taken only single notable action: marrying. I am so disappointed with him. A man who got appointed to restore hope, clean the party and reinforce patriotism and discipline as reduced himself to nothing, leaving his fans (I included) with some unanswered questions.

He needs to wake up before we judge him failure. The party got some outstanding issues and he can't keep us on hold anymore. Enough time he got to organize his team and get back to work on people's expectation. Mangula, of all the new party leaders owes us some serious party cleanups. Yes, top-down type of cleanups. We praised his appointment because we trusted he was the much needed therapy to the ills of the party but now he gives us reason to think his therapy, if any, is as less effective as placebo or that of babu wa Loliondo.

Strangely people still believe in Mangula's ability to bring good change and direction to the party. As that isn't enough they believe he is going to do today if not tomorrow. They less they forget is that Mangula is dead asleep. Wake up Mangula, Chadema is stealing the party.

That was a decoy mzee. He was reinstated so that people could revive their hopes for the party. He is already outlived his time in the party. For a person who is supposed to be in his retirement program and called back to office that is insult to the party. Remember, chairman wenu aliona mnataka mabadiliko and he decided to give u hopes. Too bad u fell for it. So sorry. Read the hands of time. CCM is done

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nimeona itv kikao cha ndani cha ccm kinachofanywa mbeya na kina lemutumboz inatumika nguvu kubwa sana kumjadili sugu.
yani ccm wamepagawa hawajielewi.

They won't be able to take Sugu off the race. He is more than a president in Mbeya.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Bwana alitoa na Bwana ametwaa , jina la bwana lihimidiwe , uwekwe mahali unapostahili ccm , wote tuseme amina .

Tunachokisubiri kuanzia sasa ni CCM kuanza kutubu mmoja mmoja mabaya yote walioitendea nchi yetu make kama ni kifo tayari tushaona macho yameacha mwili,miguu imeacha mikono n.k
 
Mkuu najua wewe ni wakunyumba mwenzangu.Nimeona dalili za kuchokwa kwa ccm kila kona ya mkoa wa Ruvuma.Hata wazazi wangu walikuwa wagumu sana kubadilika .sasa hivi wamekuwa chadema.Kwa kweli elimu wanaotoa chadema ni hatari ccm hata mlango wakutoa hawauoni.Hivi ninavyoongea na wewe vijana kwenye vijiji huko Madaba wanataka Bendera za chadema.wewe unasema tupo wachache humu JF?.Haya nipe data kamili ya uchambuzi wako kuhusu uchache wetu.Lakini ukumbuke hata bungeni tupo wachache lakini chadema mmoja hapa JF ni sawa magamba 50 .
 
Back
Top Bottom