Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Kizazi cha siku hizi hiki! Zamani tulikuwa tunafundishwa kutojibizana na waliotuzidi umri, kumbe siku hizi ni kinyume, wakubwa ndio wanakatazwa kujibizana na wadogo wao ki umri?!Lakini le mutuz yeye anafahamika kama mtu mzima,so inabidi yeye wakati mwingine akubali kumeza machungu na kukaa kimya kuliko kutupiana maneno na wadogo zake insta kwani yeye kuna watu wengi wanamwangalia kama role model,kwa hiyoanavyoendelea kutupiana maneno na vijana wadogo anakuwa anweka mfano mbaya hata kama andai kuwa anweka FACT na EVIDENCE lakini ushauri wangu kwake angekua anajitahidi kuuchuna tu.