Mange Kimambi: Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia kwa Magufuli

Mange Kimambi: Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia kwa Magufuli

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia hapa.

Bunge la machawa tulilonalo leo lilianzia hapa. Bunge kukosa upinzani ilianzia hapa. Utekaji na uuaji wa wapinzani ulianzia hapa.

Kwa kifupi system ya udikteta, ubabe na kutia hofu watu ilianzia hapa. System ya vyombo vya habari kupigwa pini na serikali ilianzia hapa, kifo cha ITV na media zingine kubwa kilianzia hapa na mara nyingi nilikiwa natoa warning kwa Watanzania kipindi cha Magu, nikiwaambia hii system mnayoruhusu Magufuli aijenge eti sababu anawaita wanyonge na kusema mliibiwa sana mkae mkijua ndio haitofutika tena bila damu kumwagika. Nilikuwa nawaambia hii all the time and sure enough aliemfata akaendeleza kwa speed ya 5G na akaongeza ukatili mara elfu 10.

Mnao mliliaga huyu kiumbe mlilieni tu ila pia msijitoe akili, mkubali kuwa mateso tunayopitia sasa hivi chimbuko ni Magufuli……

I hope tumejifunza kitu na huko mbeleni hata mtu gani atuite wanyonge hatutompa unchecked power. Now let’s fight to undo the mess Magufuli started, tulete haki kwenye nchi yetu ili tuweze kuwa na amani.

HAKUNA AMANI BILA HAKI NA HATUTAKI AMANI KAMA HAKUNA HAKI. SIO SISI TUKOSE HAKI ZETU NA RAHA KWENYE NCHI YETU ILA KUNDI DOGO LA MAFISADI MNATULAZIMISHA TUWAPE AMANI ILI MU ENJOY MALI ZENU MLIZOTUIBIA KWA AMANI. BORA TUKOSE WOTE…… NARUDIA EITHER HAKI ITOLEWE AU TUKOSE WOTE!!!!!!!
 
Mange ye binafsi kashachukua credit ya Okt 29 au zigo lote anampa samuya?
 
Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia hapa.

Bunge la machawa tulilonalo leo lilianzia hapa. Bunge kukosa upinzani ilianzia hapa. Utekaji na uuaji wa wapinzani ulianzia hapa.

Kwa kifupi system ya udikteta, ubabe na kutia hofu watu ilianzia hapa. System ya vyombo vya habari kupigwa pini na serikali ilianzia hapa, kifo cha ITV na media zingine kubwa kilianzia hapa na mara nyingi nilikiwa natoa warning kwa Watanzania kipindi cha Magu, nikiwaambia hii system mnayoruhusu Magufuli aijenge eti sababu anawaita wanyonge na kusema mliibiwa sana mkae mkijua ndio haitofutika tena bila damu kumwagika. Nilikuwa nawaambia hii all the time and sure enough aliemfata akaendeleza kwa speed ya 5G na akaongeza ukatili mara elfu 10.

Mnao mliliaga huyu kiumbe mlilieni tu ila pia msijitoe akili, mkubali kuwa mateso tunayopitia sasa hivi chimbuko ni Magufuli……

I hope tumejifunza kitu na huko mbeleni hata mtu gani atuite wanyonge hatutompa unchecked power. Now let’s fight to undo the mess Magufuli started, tulete haki kwenye nchi yetu ili tuweze kuwa na amani.

HAKUNA AMANI BILA HAKI NA HATUTAKI AMANI KAMA HAKUNA HAKI. SIO SISI TUKOSE HAKI ZETU NA RAHA KWENYE NCHI YETU ILA KUNDI DOGO LA MAFISADI MNATULAZIMISHA TUWAPE AMANI ILI MU ENJOY MALI ZENU MLIZOTUIBIA KWA AMANI. BORA TUKOSE WOTE…… NARUDIA EITHER HAKI ITOLEWE AU TUKOSE WOTE!!!!!!!
Magufuli kuna kitu aliona ambacho hatutaka kutuambia magufuli alina dhamira ya wapinzani mda ule si kutetea maslahi ya watanzania zaidi ya matumbo yao kina mbowe walifanya siasa kama mradi ndio maana akawakazia hatutaka ujinga ujinga kujidhirisha hilo tumeona sasa mbowe yupo wapo na siasa zake za maji taka october 29 wamekufa wqtu yupo wapi kama kweli alikuwa na mapenzi ya watu wa taifa hili kina zitto kabwe wapo wapo wapi wameufyqta kimya kwani wanapata walichotaka kipindi cha magu hakuna ujinga ujinga huo wakujifanya mpinzani uku unawahadaa watanzania
 
Kipindi cha olimboka ulikua mdogo sana
Huwezi kufananisha na alichofanya dhalimu Magu. Alichosema Mange ni ukweli usio na mawaa. Huu upuuzi wote wa kiutawala sasa ndani ya nchi hii ni mbegu iliyopsndwa na Magufuli mwenyewe.
 
Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia hapa.

Bunge la machawa tulilonalo leo lilianzia hapa. Bunge kukosa upinzani ilianzia hapa. Utekaji na uuaji wa wapinzani ulianzia hapa.

Kwa kifupi system ya udikteta, ubabe na kutia hofu watu ilianzia hapa. System ya vyombo vya habari kupigwa pini na serikali ilianzia hapa, kifo cha ITV na media zingine kubwa kilianzia hapa na mara nyingi nilikiwa natoa warning kwa Watanzania kipindi cha Magu, nikiwaambia hii system mnayoruhusu Magufuli aijenge eti sababu anawaita wanyonge na kusema mliibiwa sana mkae mkijua ndio haitofutika tena bila damu kumwagika. Nilikuwa nawaambia hii all the time and sure enough aliemfata akaendeleza kwa speed ya 5G na akaongeza ukatili mara elfu 10.

Mnao mliliaga huyu kiumbe mlilieni tu ila pia msijitoe akili, mkubali kuwa mateso tunayopitia sasa hivi chimbuko ni Magufuli……

I hope tumejifunza kitu na huko mbeleni hata mtu gani atuite wanyonge hatutompa unchecked power. Now let’s fight to undo the mess Magufuli started, tulete haki kwenye nchi yetu ili tuweze kuwa na amani.

HAKUNA AMANI BILA HAKI NA HATUTAKI AMANI KAMA HAKUNA HAKI. SIO SISI TUKOSE HAKI ZETU NA RAHA KWENYE NCHI YETU ILA KUNDI DOGO LA MAFISADI MNATULAZIMISHA TUWAPE AMANI ILI MU ENJOY MALI ZENU MLIZOTUIBIA KWA AMANI. BORA TUKOSE WOTE…… NARUDIA EITHER HAKI ITOLEWE AU TUKOSE WOTE!!!!!!!
Ni kweli kabisa
 
MAgufuli kuna kitu aliona ambacho hatutaka kutuambia magufuli alina dhamira ya wapinzani mda ule si kutetea maslahi ya watanzania zaidi ya matumbo yao kina mbowe walifanya siasa kama mradi ndio maana akawakazia hatutaka ujinga ujinga kujidhirisha hilo tumeona sasa mbowe yupo wapo na siasa zake za maji taka october 29 wamekufa wqtu yupo wapi kama kweli alikuwa na mapenzi ya watu wa taifa hili kina zitto kabwe wapo wapo wapi wameufyqta kimya kwani wanapata walichotaka kipindi cha magu hakuna ujinga ujinga huo wakujifanya mpinzani uku unawahadaa watanzania
Kama aliwaona wapinzani ni hatari hivyo, basi alipaswa kuifuta ccm, maana uchafu wote wa nchi hii umefanywa na ccm na sio wapinzani. Magufuli alitumia madaraka yake kuifanya ccm ionekane imekubalika kwa sababu yake. Ndio tulianza kuona wizi wa kura wa wazi wazi, makundi ya kihalifu yenye kinga ya dola na uchafu wa aina hiyo. Inshort Magufuli alikuwa ni shetani kwenye sura ya binadamu.
 
Huwezi kufananisha na alichofanya dhalimu Magu. Alichosema Mange ni ukweli usio na mawaa. Huu upuuzi wote wa kiutawala sasa ndani ya nchi hii ni mbegu iliyopsndwa na Magufuli mwenyewe.
Huyo JPM, namuombea, AFE TENA HATA HUKO ALIKO!
 
Magufuli kuna kitu aliona ambacho hatutaka kutuambia magufuli alina dhamira ya wapinzani mda ule si kutetea maslahi ya watanzania zaidi ya matumbo yao kina mbowe walifanya siasa kama mradi ndio maana akawakazia hatutaka ujinga ujinga kujidhirisha hilo tumeona sasa mbowe yupo wapo na siasa zake za maji taka october 29 wamekufa wqtu yupo wapi kama kweli alikuwa na mapenzi ya watu wa taifa hili kina zitto kabwe wapo wapo wapi wameufyqta kimya kwani wanapata walichotaka kipindi cha magu hakuna ujinga ujinga huo wakujifanya mpinzani uku unawahadaa watanzania
Magu alizuia siasa na kilichokuwa kikifanyika kilionekana kwa kila mwenye macho.

Alizuia ujinga unaoitwa demokrasia akajenga viwanja vya ndege nchi nzima.

Akajenga SGR inayoelekea kumalizika akajenga daraja la Busisi na mengine mengi.

Aliua siasa za majukwaani zinazowapa ulaji hawa mawakala wa wazungu kina Amsterdam.
 
Back
Top Bottom