Mange Kimambi kiko wapi!

Mange Kimambi kiko wapi!

so whats your point? kwa hiyo unafikiri kwamba watu hawajui serikali ina mkono mrefu? wewe ndiyo wa kwanza kulijua hilo?
ngoja nikupe tip, hiyo serikali yenye mkono mrefu hamuimiliki, na inaweza kubadilishwa na huo huo mkono mrefu wa serikali unaojivunia nao ukawa shubiri kwenu pia, serikali ni watu na watu ndiyo sisi au haujawahi kuona aaliyekuwa raisi akakamatwa na askari aliokuwa anawaamrisha na kuhukumiwa na majaji aliowateua na kufungwa magereza aliyokuwa anayasimamia?

ndiyo serikali yoyote ile ina mkono mrefu ...
 
Niwakumbushe tu serikali inamkono mrefu,kikowapi mange kimambi anaogopa kupost huko X,ameshapewa onyo kua akileta zake account yake X pia wanapita nayo,
Umekaa kabisa unamuwa Mange ?
 
Mange alisababisha watu wafanywe mbaya 29,
Mambe hakuwa sababu ya mauaji ya watu wale. Kulikuwa na mengi hiyo 29 October, na kila mtu abebe msalaba wake na uwajibikaji wake
 
Kafieni mbele huko mshawaona watu wajinga si siku zote ulikua unasema utatoka tuambie ulipo tujiunge
Wewe umefungiwa ndani kinyume cha sheria na serikali yako kama kimada, sababu ya mange kimambi. Na kesho JenZiii wanaendelea mtafanywa wanawali mpaka muive ngozi kama waarabu
 
Wewe umefungiwa ndani kinyume cha sheria na serikali yako kama kimada, sababu ya mange kimambi. Na kesho JenZiii wanaendelea mtafanywa wanawali mpaka muive ngozi kama waarabu
Nani kafungiwa ndani,sisi tuko kitaa wewe tunapambana
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Niwakumbushe tu serikali inamkono mrefu,kikowapi mange kimambi anaogopa kupost huko X,ameshapewa onyo kua akileta zake account yake X pia wanapita nayo,
kichwa yako ina kamasi.
 
Back
Top Bottom