Miss Grace
Member
- Oct 7, 2016
- 30
- 41
Ha ha ha ha waache walambishane ndimu
Wee nae wkt anatukanwa mbona hukuandika hii barua yako ya kingereza cha form 3B.
Mange walimuanza, anamalizia.
Hicho ni kiingereza cha form II D mkuuWee nae wkt anatukanwa mbona hukuandika hii barua yako ya kingereza cha form 3B.
Mange walimuanza, anamalizia.
Tushajua uko Arkansas ndani ndani wanakolima kunde, unatumia nguvu kutujulisha uko Marekani na kingereza cha kulazimisha kutuchosha huku unaonekana live unamponda Mange. Bye bih!
Watu wanaosena eti wanamuanza mange hawamjui,,toka utotonni mange ni muonezi yani alikuwa ni vile vitoto vibabe vya darasa....Yeye umuanze usimuanze kama umemzidi au maarufu basi jiandae kama,haujatukanwa bado hadi leo basi ipo siku yako ya katukanwa...na yeye anayokuchamba sio yote ya kwel ni anakipaji cha utunzi na uandishi..sifa yake nyingine anapenda sana kuongelewa, ana account fake kibao IG, yule ni wa kumpuuza tu.
Hataaaa siyo Wa kumpuuza hata kidogo... Au kwa kuwa alisema ukweli kuhusu upumbavu Wa Magufuli kumpiga mkewe?Watu wanaosena eti wanamuanza mange hawamjui,,toka utotonni mange ni muonezi yani alikuwa ni vile vitoto vibabe vya darasa....Yeye umuanze usimuanze kama umemzidi au maarufu basi jiandae kama,haujatukanwa bado hadi leo basi ipo siku yako ya katukanwa...na yeye anayokuchamba sio yote ya kwel ni anakipaji cha utunzi na uandishi..sifa yake nyingine anapenda sana kuongelewa, ana account fake kibao IG, yule ni wa kumpuuza tu.
who is nambua?Unajua inaumiza sana, alichofanyiwa Mange na kina Rachel, Nambua etc si kizuri kabisa kipindi yeye anataka kuolewa mpk waliwatafuta wakwe zake na mange na kuwapa profile la mange na pia waliwatukana sana wazazi mange matusi ya Nguoni. Waache na wenyewe wapate joto ya jiwe lol!