Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Jamaniee, kwa wale ambao hamjaoa, tafuteni kwanza maisha hadi yawe mazuri ndo muoe, msikimbilie bila kuwa na pesa nyingi, kwasababu kwenye ndoa pesa zinahitajika sana hasa pale mwenzi wako akiwa mjamzito. kwa wale ambao wameoa, na pengine hawana pesa nyingi sana, au pengine wamezipata juzijuzi tu, wanaweza kukubaliana na mimi kuhusu lawama zangu kwa manesi wa hospitali za rufaa hapa tz.
Kusema ukweli, tumechoka na watu hawa. wanatutukana na kutudharirisha sana wanawake tukienda kujifungua kule. Kwa wale ambao hawana habari na jinsi inavyotokea huko, ni balaa. ukienda kule, ukaona namna wamama walivyojipanga mstari kwenye vitanda vyao, wakiwa uchi wamepanua mapaja yao kule na kule huku nanihii ikiwa iko wazi kabisaa, na manesi wakiwa hata hawajali pale mmoja wao atakapokuwa tayari anatoa mtoto. mara nyingi huambiwa aendelee tu kusukuma na matusi juuu, na kuambiwa alifurahia nanilii ya mmewe kumbe hajui maumivu, anaweza akaachwa hadi mtoto anywe maji. wengine hujitahidi hadi wanachanika, si unajua tena. wenye uzazi wa kwanza ndo kabisaa, hajui, akijitahidi kama anakosea nesi anakuja anamtandika kibao kikali na kumsaidia ati anataka kuua mtoto kwanini wakati hajamsaidia hapo mwanzo. watoto wengi wanaokufa ni manesi wanasababisha hospitalini.wanaume waoneeni huruma wake zenu.
Ukimpa Nesi kama alfu ishirini hivi, huwezi amini, wana njia zao za kusaidia kumtoa mtoto kwa mara moja tena kwa uangalifu mkubwa. utakuta wanasema huyo ni mdogo wao, na wanamtunza sana huyo mama.
vitanda vyenyewe hamna, kitanda kimoja wanaweza wakalala wajawazito wawili. na si vitanda special kwa kujifungulia sehemu zilizo nyingi. damu zinaweza kuambukizana, ni balaa tupu. kwa wale ambao hawawezi kuwapeleka wake zao aghakan hospital kwenye malaki na maelfu huko, kwakweli wanapata shida sana. Nesi ni mfalme nchi hii kwa wanawake, hata huku majumbani tu, anaweza akakopa hadi hela kwa watu hakataliwi,kwasababu ukileta nyodo hujui utaenda hospital yao au vipi.
hivi selikali imeshindwa kuwadhibiti hawa watu? kama hawataki kazi si waache waje manesi waadilifu na wacha Mungu? watu wanatafuta kazi kila siku mbona! hadi lini? tumechoka jamani. inasikitisha. kwanza ni udhalilishaji tosha. kwa wale wanawake ambao walishawahi kuzalia hospital za selikali wanajua hili. pamoja na kwamba humu ndani watakuwa wachache kwasababu wanawake waliomo humu wengi ni wasomi na wana afford hospital za garama. naomba selikali ilifuatilie hili.kama selikali imeshindwa, basi sisi wananchi tunaweza kulikomesha wenyewe hukuhuku mtaani...na hao manesi wataona kumbe wao ni watumishi sio mamwinyi.
madhara mengi watu wanapata kwasababu ya kuzaa kwa shida inayosababishwa na manesi kutofanya kazi yao kule leba. watu wanachanika hadi waume zao wanawakimbia kwasababu maumbile yao yanakuwa yamepanuka(kama hawatashonwa). why? watu wanapata hata fistula, watu wanalaani kuzaa, watoto wanakunywa maji hadi wanafia mlangoni. ati jamani tusiongee hili kwasababu ni taboo? hiii taboo ambayo hatu iaddress tutaificha hadi lini wakati wanawake wanazidi kufa na watoto wetu wanazidi kufa? imagine umetunza mimba miezi tisa afu mtoto anakufa wakati wa kujifungua, au waifu wako anakufa au anaharibika sehemu za siri? tuifanye tabooo? Mungu atawahukumu ninyi manesi.
Kusema ukweli, tumechoka na watu hawa. wanatutukana na kutudharirisha sana wanawake tukienda kujifungua kule. Kwa wale ambao hawana habari na jinsi inavyotokea huko, ni balaa. ukienda kule, ukaona namna wamama walivyojipanga mstari kwenye vitanda vyao, wakiwa uchi wamepanua mapaja yao kule na kule huku nanihii ikiwa iko wazi kabisaa, na manesi wakiwa hata hawajali pale mmoja wao atakapokuwa tayari anatoa mtoto. mara nyingi huambiwa aendelee tu kusukuma na matusi juuu, na kuambiwa alifurahia nanilii ya mmewe kumbe hajui maumivu, anaweza akaachwa hadi mtoto anywe maji. wengine hujitahidi hadi wanachanika, si unajua tena. wenye uzazi wa kwanza ndo kabisaa, hajui, akijitahidi kama anakosea nesi anakuja anamtandika kibao kikali na kumsaidia ati anataka kuua mtoto kwanini wakati hajamsaidia hapo mwanzo. watoto wengi wanaokufa ni manesi wanasababisha hospitalini.wanaume waoneeni huruma wake zenu.
Ukimpa Nesi kama alfu ishirini hivi, huwezi amini, wana njia zao za kusaidia kumtoa mtoto kwa mara moja tena kwa uangalifu mkubwa. utakuta wanasema huyo ni mdogo wao, na wanamtunza sana huyo mama.
vitanda vyenyewe hamna, kitanda kimoja wanaweza wakalala wajawazito wawili. na si vitanda special kwa kujifungulia sehemu zilizo nyingi. damu zinaweza kuambukizana, ni balaa tupu. kwa wale ambao hawawezi kuwapeleka wake zao aghakan hospital kwenye malaki na maelfu huko, kwakweli wanapata shida sana. Nesi ni mfalme nchi hii kwa wanawake, hata huku majumbani tu, anaweza akakopa hadi hela kwa watu hakataliwi,kwasababu ukileta nyodo hujui utaenda hospital yao au vipi.
hivi selikali imeshindwa kuwadhibiti hawa watu? kama hawataki kazi si waache waje manesi waadilifu na wacha Mungu? watu wanatafuta kazi kila siku mbona! hadi lini? tumechoka jamani. inasikitisha. kwanza ni udhalilishaji tosha. kwa wale wanawake ambao walishawahi kuzalia hospital za selikali wanajua hili. pamoja na kwamba humu ndani watakuwa wachache kwasababu wanawake waliomo humu wengi ni wasomi na wana afford hospital za garama. naomba selikali ilifuatilie hili.kama selikali imeshindwa, basi sisi wananchi tunaweza kulikomesha wenyewe hukuhuku mtaani...na hao manesi wataona kumbe wao ni watumishi sio mamwinyi.
madhara mengi watu wanapata kwasababu ya kuzaa kwa shida inayosababishwa na manesi kutofanya kazi yao kule leba. watu wanachanika hadi waume zao wanawakimbia kwasababu maumbile yao yanakuwa yamepanuka(kama hawatashonwa). why? watu wanapata hata fistula, watu wanalaani kuzaa, watoto wanakunywa maji hadi wanafia mlangoni. ati jamani tusiongee hili kwasababu ni taboo? hiii taboo ambayo hatu iaddress tutaificha hadi lini wakati wanawake wanazidi kufa na watoto wetu wanazidi kufa? imagine umetunza mimba miezi tisa afu mtoto anakufa wakati wa kujifungua, au waifu wako anakufa au anaharibika sehemu za siri? tuifanye tabooo? Mungu atawahukumu ninyi manesi.