Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
419
Reaction score
217
Mambo vipi wana MMU.

Kuna maneno fulani huwa yananikera hasa pale ninapo mtongoza msichana.

Basi anaponiambia huwa nakosa hata jibu but inabidi nipige sound tu nakurudisha kumbukumbu alimradi tu, apotee na atoke kwenye lengo.

Kuna maneno kama:

1) Umenipendea nini?
2) Nitajuaje ka unanipenda?
3) Huwaoni wengine?

Hunamvuto sitaki.

Ok wewe pia najua yapo yanayokukera.

Tiririkaaaaaa
 
mambo vip wana mmu ...kuna maneno flan huwa yananikera hasa pale ninapo mtongoza msichana ..bas anaponiambia huwa nakosa hata jib..but ina bidi ..nipige sound tu ..nakurudisha kumbukumbu alimrad tu ..apotee na atoke kwenye lengo...kuna maneno kama...umenipendea nn??.....ntajuaje ka unanipenda???...huwaoni wengine....hunamvuto...sitakiiiiiiiiiiii....ok wewe pia najua yapo yanayokukera..tiririkaaaaaa
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake

Umeua kiongozi😂😂


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
"Subiri ntakujibu" apo ndo kwny kazi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake

Mshkaji umetisha sana, ebwana we noumah,

.made in mby city.
 
Yaan mm wananifataga wenyewe mademu nategwa kichiz ila nawapotezea na lipizaa bcoz wao siwanatuzungua oooh eti anakwambia huna hadhi,sjui ukome kunifata,ninabwana wangu kwa hiyoo usijisumbue ovyoo,ukilazimisha sana utaambiwa kampende mamaa ako mademu nomaa
 
Mi wananikera wanaokaa kimya tu hata hawaongei, coz wakisha ongea tu kidogo huwa hawana bahati ya kutoka burebure.

.made in mby city.
 
kwa kweli nimesahau kutongoza hivi kupo kweli? maana siku hizi ni mwendo wa twende diner, baada ya hapo siku 2 umepiga mzigo. kwahiyo mimi hakuna neno linalonikera.
 
Mambo vipi wana MMU. Kuna maneno fulani huwa yananikera hasa pale ninapo mtongoza msichana.Basi anaponiambia huwa nakosa hata jibu but inabidi nipige sound tu nakurudisha kumbukumbu alimradi tu, apotee na atoke kwenye lengo.Kuna maneno kama:
1) Umenipendea nini?
2) Nitajuaje ka unanipenda?
3) Huwaoni wengine?
Hunamvuto sitaki.Ok wewe pia najua yapo yanayokukera.
Tiririkaaaaaa

Mbona sawa tu mwana lazima umwage sera!
Si unajuwa tena mambo ya masailiano au unapotaka post ya kupigiwa kura.

Nyerere alisema, "Ohhhhhh mimi napenda sana muungano nachukia rushwa, lakini ukimtazama mtu usoni unajiuliza HUYU?"
 
Kweli we kijana wa leo

yani sio siri ndugu, ki ukweli nimesahau kutongoza, nakumbuka enzi zile unafukuzia yani mpaka kichwa kinauma, siku hizi ukipata no tu, na ukifanya ayo ya kumjali unakula mzgo tena anakupa wote. sasa nashangaa kuona bado kuna watu wanatongoza na kupewa hayo majibu.
 
"Tayari nina mtu wangu.. Yani unaniconvince nimwache mtu wng? Ungelikuwa wewe unafanyiwa hivyo kwa mtu wako unaempenda ungejickiaje"
 
Back
Top Bottom