ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,803
- 60,649
Kuna baadhi ya maneno viongozi wa dini na watu wengi huyasema tunapokuwa misibani,Mimi naona maneno hayo sio sawa kabisa.maneno yenyewe Ni Kama "sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi","bwana ametoa bwana ametwaa"
Sababu inayofanya nione sio sawa Ni kwamba maneno hayo Ni Kama vile tunamtupia Mungu lawama kwamba ndiye amesababisha kifo lakini ukweli Ni kuwa yeye Hasababishi maovu yoyote japokuwa ameyaacha yatokee.tunasema yeye Ni mtakatifu kwa hio asingeweza kuwaua watu.lawama Ni juu yetu na ibilisi.kwa hiyo tusitumie hayo maneno ambayo yanaweza kumfanya Mungu aonekane Ana chuki na sisi.
Sababu inayofanya nione sio sawa Ni kwamba maneno hayo Ni Kama vile tunamtupia Mungu lawama kwamba ndiye amesababisha kifo lakini ukweli Ni kuwa yeye Hasababishi maovu yoyote japokuwa ameyaacha yatokee.tunasema yeye Ni mtakatifu kwa hio asingeweza kuwaua watu.lawama Ni juu yetu na ibilisi.kwa hiyo tusitumie hayo maneno ambayo yanaweza kumfanya Mungu aonekane Ana chuki na sisi.