jibu maswali haya kisha tuendelee na mjadala.
1 tuzo ya mo-ibrahim imeanzishwa mwaka gani?
2 je waliposema watawatuza marais wastaafu walioongoza vizuri waliweka/wameweka vigezo gani vya muda gani tokea marais wastaafu(time limit mfano marais waliostaafu miaka miwili au mitano ilopita au wote waliostaafu hata kama mtu kastaafu mwaka 1966?)
ukijibu haya, nitapata cha kuchangia