Una mana gani?Tutakukumbuka Madiba,pole.
Una mana gani?
ushindwe na ulegee.get well soon our hero madiba.Kuna highly probability ya utabili wa TB Joshua kutimia...
Mkuu,Mzee huyu anastahili kupumzika sasa amaifanyia afrikakusini makubwa mwenyezi Mungu atamlipa na kumrehemu.
Broda , you are fool!...come what may!Kuna highly probability ya utabili wa TB Joshua kutimia...
Ok, kumbe ndo maana mmesamehe mafisadi, good job, mbarikiwe.Mkuu,
Siyo Afrika kusini tu, ni Dunia nzima. Ameifundisha dunia thamani ya ubinadamu, na maana ya Msamaha!
Namtakia Mandela Maisha zaidi na zaidi, na kila siku huyu mzee anatoa somo kwa binadamu kuwa mtu akisamehe anajiongezea umri!