Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Huyu ni dada wa Magufuli.......wazinza ni chotara ya ''muhaya'' na ''msukuma'' chanaganya mila za kabila hizi utapata jibu
umempata au unatafuta wakabila hilo?kama umempata sasa kwanini usimuulize hayo yote? ye ndo atakwambia ukweli humu ndani tutakudanganya!Ndıyo mara yangu ya kwanza kulısıkıa hılı kabıla. Lınatokea mkoa ganı?. Wanaolıjua watakueleza tabıa zao ıngawa nafıkırı ımeshaelezwa mara nyıngı na zaıdı watu wengı wamekuwa wakıkosoa tabıa ya kutaka kuelezwa sıfa za mtu kwa kuegemea kabıla.
Hataki kuoa huyu anataka kuchezea tu!Ushauri wangu wa bure kwako njoo Mwanza hasa wilaya ya Sengerema ambako hawa watu wanapatikana uje uwafanyie utafiti maana suala la kumuoa huyo dada naona hauko siriazi.
Ngugu mtoa mada, Wazinza wana tabia fulani (japo si sana) ya ubinafsi na dharau kidogo. Sio wataalamu sana wa kupika hivo km amekulia ktk mazingira ya kijijini mapishi yapo pembeni, na wewe km ni mtu uliezoea mapishi ya Pwani utakutana na mapishi ambayo ambayo si mazuri sana
Kuhusu utamaduni ni watu ambao kitoweo cha heshima ni Sato. Kama wewe ni mkwe watakuandalia sato kama kitoweo cha heshima sana. Inabidi ujiandae siku utakapokwenda kuwatembelea wakwe kijijini wakati wa chakula. huwa wanakula kwa pamoja yaani mnakaa wote chini au kwenye mkeka mnaanza kula. sahani/bakuli la mboga/kitoweo ni moja na mnashare. Mchuzi huwa ni mwingi sana, Ktk eneo lao viazi hustawi sana hivo unaweza kukuta chakula kikuu cha mchana ni viazi na Sato waliopikwa chukuchuku na mchuzi mwaingi. Nimesema ujiandae kwa sababu ulaji wao utakushangaza. wanatumia bakuli moja kwa ajili ya mchuzi na kwa sababu ni mwingi kila mtu akitaka anachukua bakuli hilo anatia mdomoni na kunywa mchuzi ili kushushia kiazi alichokula, so ninyi nyote mnatumia mfumo huo wa kushushia mchuzi ulioko kwenye bakuli moja. Hapo km roho yako ni nyepesi unaweza kutapika au ukaacha kula ila ndivyo wanavyokula.
Naomba leo niishie hapa. nikikumbuka nyingine nitakuambia coz niwahi kuishi huko for about 3 yrs and my parent are living there japokuwa sisi si wazinza
Ngugu mtoa mada, Wazinza wana tabia fulani (japo si sana) ya ubinafsi na dharau kidogo. Sio wataalamu sana wa kupika hivo km amekulia ktk mazingira ya kijijini mapishi yapo pembeni, na wewe km ni mtu uliezoea mapishi ya Pwani utakutana na mapishi ambayo ambayo si mazuri sana
Kuhusu utamaduni ni watu ambao kitoweo cha heshima ni Sato. Kama wewe ni mkwe watakuandalia sato kama kitoweo cha heshima sana. Inabidi ujiandae siku utakapokwenda kuwatembelea wakwe kijijini wakati wa chakula. huwa wanakula kwa pamoja yaani mnakaa wote chini au kwenye mkeka mnaanza kula. sahani/bakuli la mboga/kitoweo ni moja na mnashare. Mchuzi huwa ni mwingi sana, Ktk eneo lao viazi hustawi sana hivo unaweza kukuta chakula kikuu cha mchana ni viazi na Sato waliopikwa chukuchuku na mchuzi mwaingi. Nimesema ujiandae kwa sababu ulaji wao utakushangaza. wanatumia bakuli moja kwa ajili ya mchuzi na kwa sababu ni mwingi kila mtu akitaka anachukua bakuli hilo anatia mdomoni na kunywa mchuzi ili kushushia kiazi alichokula, so ninyi nyote mnatumia mfumo huo wa kushushia mchuzi ulioko kwenye bakuli moja. Hapo km roho yako ni nyepesi unaweza kutapika au ukaacha kula ila ndivyo wanavyokula.
Naomba leo niishie hapa. nikikumbuka nyingine nitakuambia coz niwahi kuishi huko for about 3 yrs and my parent are living there japokuwa sisi si wazinza
Ngugu mtoa mada, Wazinza wana tabia fulani (japo si sana) ya ubinafsi na dharau kidogo. Sio wataalamu sana wa kupika hivo km amekulia ktk mazingira ya kijijini mapishi yapo pembeni, na wewe km ni mtu uliezoea mapishi ya Pwani utakutana na mapishi ambayo ambayo si mazuri sana
Kuhusu utamaduni ni watu ambao kitoweo cha heshima ni Sato. Kama wewe ni mkwe watakuandalia sato kama kitoweo cha heshima sana. Inabidi ujiandae siku utakapokwenda kuwatembelea wakwe kijijini wakati wa chakula. huwa wanakula kwa pamoja yaani mnakaa wote chini au kwenye mkeka mnaanza kula. sahani/bakuli la mboga/kitoweo ni moja na mnashare. Mchuzi huwa ni mwingi sana, Ktk eneo lao viazi hustawi sana hivo unaweza kukuta chakula kikuu cha mchana ni viazi na Sato waliopikwa chukuchuku na mchuzi mwaingi. Nimesema ujiandae kwa sababu ulaji wao utakushangaza. wanatumia bakuli moja kwa ajili ya mchuzi na kwa sababu ni mwingi kila mtu akitaka anachukua bakuli hilo anatia mdomoni na kunywa mchuzi ili kushushia kiazi alichokula, so ninyi nyote mnatumia mfumo huo wa kushushia mchuzi ulioko kwenye bakuli moja. Hapo km roho yako ni nyepesi unaweza kutapika au ukaacha kula ila ndivyo wanavyokula.
Naomba leo niishie hapa. nikikumbuka nyingine nitakuambia coz niwahi kuishi huko for about 3 yrs and my parent are living there japokuwa sisi si wazinza
Huyu ni dada wa Magufuli.......wazinza ni chotara ya ''muhaya'' na ''msukuma'' chanaganya mila za kabila hizi utapata jibu
Ngugu mtoa mada, Wazinza wana tabia fulani (japo si sana) ya ubinafsi na dharau kidogo. Sio wataalamu sana wa kupika hivo km amekulia ktk mazingira ya kijijini mapishi yapo pembeni, na wewe km ni mtu uliezoea mapishi ya Pwani utakutana na mapishi ambayo ambayo si mazuri sana
Kuhusu utamaduni ni watu ambao kitoweo cha heshima ni Sato. Kama wewe ni mkwe watakuandalia sato kama kitoweo cha heshima sana. Inabidi ujiandae siku utakapokwenda kuwatembelea wakwe kijijini wakati wa chakula. huwa wanakula kwa pamoja yaani mnakaa wote chini au kwenye mkeka mnaanza kula. sahani/bakuli la mboga/kitoweo ni moja na mnashare. Mchuzi huwa ni mwingi sana, Ktk eneo lao viazi hustawi sana hivo unaweza kukuta chakula kikuu cha mchana ni viazi na Sato waliopikwa chukuchuku na mchuzi mwaingi. Nimesema ujiandae kwa sababu ulaji wao utakushangaza. wanatumia bakuli moja kwa ajili ya mchuzi na kwa sababu ni mwingi kila mtu akitaka anachukua bakuli hilo anatia mdomoni na kunywa mchuzi ili kushushia kiazi alichokula, so ninyi nyote mnatumia mfumo huo wa kushushia mchuzi ulioko kwenye bakuli moja. Hapo km roho yako ni nyepesi unaweza kutapika au ukaacha kula ila ndivyo wanavyokula.
Naomba leo niishie hapa. nikikumbuka nyingine nitakuambia coz niwahi kuishi huko for about 3 yrs and my parent are living there japokuwa sisi si wazinza
Sasa mkuu, hiyo ya kunywa mchuzi ktk bakuli moja, labda kwasasa huenda washaacha hizo, kwamaana ya kuwa watu wanaelimika na mambo ya kiafya, mf zamani ilikuwa tunanawa ktk bakuli moja siku hizi hamna hizo, mnanawa kwa mtindo wa kutiririsha maji, hivyo nina imani wengi wao washaachana na hyo mambo hasa sasa elimu imekuwa bure nina imani wengi wao walau la saba, ile maarifa kuhusu usafi wengi itakuwa washaacha hiyo kituNgugu mtoa mada, Wazinza wana tabia fulani (japo si sana) ya ubinafsi na dharau kidogo. Sio wataalamu sana wa kupika hivo km amekulia ktk mazingira ya kijijini mapishi yapo pembeni, na wewe km ni mtu uliezoea mapishi ya Pwani utakutana na mapishi ambayo ambayo si mazuri sana
Kuhusu utamaduni ni watu ambao kitoweo cha heshima ni Sato. Kama wewe ni mkwe watakuandalia sato kama kitoweo cha heshima sana. Inabidi ujiandae siku utakapokwenda kuwatembelea wakwe kijijini wakati wa chakula. huwa wanakula kwa pamoja yaani mnakaa wote chini au kwenye mkeka mnaanza kula. sahani/bakuli la mboga/kitoweo ni moja na mnashare. Mchuzi huwa ni mwingi sana, Ktk eneo lao viazi hustawi sana hivo unaweza kukuta chakula kikuu cha mchana ni viazi na Sato waliopikwa chukuchuku na mchuzi mwaingi. Nimesema ujiandae kwa sababu ulaji wao utakushangaza. wanatumia bakuli moja kwa ajili ya mchuzi na kwa sababu ni mwingi kila mtu akitaka anachukua bakuli hilo anatia mdomoni na kunywa mchuzi ili kushushia kiazi alichokula, so ninyi nyote mnatumia mfumo huo wa kushushia mchuzi ulioko kwenye bakuli moja. Hapo km roho yako ni nyepesi unaweza kutapika au ukaacha kula ila ndivyo wanavyokula.
Naomba leo niishie hapa. nikikumbuka nyingine nitakuambia coz niwahi kuishi huko for about 3 yrs and my parent are living there japokuwa sisi si wazinza