Manara aambiwe ukweli kuwa muda wake umeisha

DullyJr

JF-Expert Member
Apr 10, 2011
13,979
11,816
Ameandika Mwanaharakati Yericko Nyerere

"Hii haikubaliki, hii ni dhihaka, dharau na kutweza utu wa Msemaji Mkuu wa @yangasc ndugu @alikamwe na Mkuu wa Digital ndugu @privaldinho ambao ndio wana ithibati ya kuisemea Yanga na kubuni falsafa ya uongozi wa kiusemaji na mwelekeo wautakao.

Anachokifanya Ndugu Haji Manara ni kuwaingilia uhuru na ubunifu wao katika kazi na kuwafanya wajinga, akiwalazimisha wafanye kazi vile anavyotaka yeye. Hii haikubaliki. Haji si mfanyakazi wa Yanga, Bali ni rafiki wa GSM ama tuseme ni (influencer) tu, asivuke mipaka kwenda kuwavuruga vijana hawa Ali Kamwe na Privadinho ambao kwa miezi kadhaa waliyokaa pale Yanga wemeleta falsafa yao nzuri ya kiuongozi (ryrithim), ambayo imeifanya klabu ya yanga kuongeza hamasa na kuongeza uwingi wa mashabiki mitandaoni kwa sasa.

Manara aelezwe ukweli na uwazi akubali kupokea ukweli huo kwamba sio msemaji tena wa Yanga, yaani yuko nje kabisa ya mfumo wa yanga. Bado anatembea na Apedomia kichwani akiamini kwamba mafanikio ya Yanga yametokana na yeye. Anaamini kwamba yeye bado ni msemaji wa Yanga. Hii ni mbaya sana. Leo anawafanyia hivi Wasemaji wa klabu, Kesho atamfanyia utovu wa nidhamu Rais wa Yanga Boss @caamil_88 na akichekewa siku atamnyea mbovu Tajiri Gharib Mohamed. Ndio! Huyu hana dogo, anaweza kufanya chochote huyu kijana. Rejaa utovu wa nidhamu na udharimu aliomfanyia aliyekuwa Mtendaji wa @simbasctanzania @bvrbvra na tajiri na mwekezaji @moodewji

Ndugu na rafiki yangu Kaka yangu @caamil_88 nakuomba sana liangalieni kwa makini hili, Mwelezeni wazi Manara kuwa sio msemaji wa Yanga, azungumze kama shabiki wa kawaida huko vichochoroni, sio kutweza watendaji na viongozi wa timu. Vijana hawa Ali Kamwe na Priva klabu imewekeza pesa nyingi kwao, na wameanza kuleta matunda mengi kwa klabu, leo makampuni makubwa yanakuja kuwekeza kwasababu mtandao wa mashabiki umekuwa mkubwa kupitia vijana hawa wenye nidhamu, ucheshi na adabu mbele za kila mpenda soka"

FB_IMG_1682422186370.jpg
 
Ameandika Mwanaharakati Yericko Nyerere

"Hii haikubaliki, hii ni dhihaka, dharau na kutweza utu wa Msemaji Mkuu wa @yangasc ndugu @alikamwe na Mkuu wa Digital ndugu @privaldinho ambao ndio wana ithibati ya kuisemea Yanga na kubuni falsafa ya uongozi wa kiusemaji na mwelekeo wautakao.

Anachokifanya Ndugu Haji Manara ni kuwaingilia uhuru na ubunifu wao katika kazi na kuwafanya wajinga, akiwalazimisha wafanye kazi vile anavyotaka yeye. Hii haikubaliki. Haji si mfanyakazu wa Yanga, Bali ni rafiki wa GSM ama tuseme ni (influencer) tu, asivuke mipaka kwenda kuwavuruga vijana hawa Ali Kamwe na Privadinho ambao kwa miezi kadhaa waliyokaa pale Yanga wemeleta falsafa yao nzuri ya kiuongozi (ryrithim), ambayo imeifanya klabu ya yanga kuongeza hamasa na kuongeza uwingi wa mashabiki mitandaoni kwa sasa.

Manara aelezwe ukweli na uwazi akubali kupokea ukweli huo kwamba sio msemaji tena wa Yanga, yaani yuko nje kabisa ya mfumo wa yanga. Bado anatembea na Apedomia kichwani akiamini kwamba mafanikio ya Yanga yametokana na yeye. Anaamini kwamba yeye bado ni msemaji wa Yanga. Hii ni mbaya sana. Leo anawafanyia hivi Wasemaji wa klabu, Kesho atamfanyia utovu wa nidhamu Rais wa Yanga Boss @caamil_88 na akichekewa siku atamnyea mbovu Tajiri Gharib Mohamed. Ndio! Huyu hana dogo, anaweza kufanya chochote huyu kijana. Rejaa utovu wa nidhamu na udharimu aliomfanyia aliyekuwa Mtendaji wa @simbasctanzania @bvrbvra na tajiri na mwekezaji @moodewji

Ndugu na rafiki yangu Kaka yangu @caamil_88 nakuomba sana liangalieni kwa makini hili, Mwelezeni wazi Manara kuwa sio msemaji wa Yanga, azungumze kama shabiki wa kawaida huko vichochoroni, sio kutweza watendaji na viongozi wa timu. Vijana hawa Ali Kamwe na Priva klabu imewekeza pesa nyingi kwao, na wameanza kuleta matunda mengi kwa klabu, leo makampuni makubwa yanakuja kuwekeza kwasababu mtandao wa mashabiki umekuwa mkubwa kupitia vijana hawa wenye nidhamu, ucheshi na adabu mbele za kila mpenda soka"

View attachment 2599786
Kwani wewe jamaa na Manara mlifanyana nini mbona una hasira nae sana
 
Ameandika Mwanaharakati Yericko Nyerere

"Hii haikubaliki, hii ni dhihaka, dharau na kutweza utu wa Msemaji Mkuu wa @yangasc ndugu @alikamwe na Mkuu wa Digital ndugu @privaldinho ambao ndio wana ithibati ya kuisemea Yanga na kubuni falsafa ya uongozi wa kiusemaji na mwelekeo wautakao.

Anachokifanya Ndugu Haji Manara ni kuwaingilia uhuru na ubunifu wao katika kazi na kuwafanya wajinga, akiwalazimisha wafanye kazi vile anavyotaka yeye. Hii haikubaliki. Haji si mfanyakazu wa Yanga, Bali ni rafiki wa GSM ama tuseme ni (influencer) tu, asivuke mipaka kwenda kuwavuruga vijana hawa Ali Kamwe na Privadinho ambao kwa miezi kadhaa waliyokaa pale Yanga wemeleta falsafa yao nzuri ya kiuongozi (ryrithim), ambayo imeifanya klabu ya yanga kuongeza hamasa na kuongeza uwingi wa mashabiki mitandaoni kwa sasa.

Manara aelezwe ukweli na uwazi akubali kupokea ukweli huo kwamba sio msemaji tena wa Yanga, yaani yuko nje kabisa ya mfumo wa yanga. Bado anatembea na Apedomia kichwani akiamini kwamba mafanikio ya Yanga yametokana na yeye. Anaamini kwamba yeye bado ni msemaji wa Yanga. Hii ni mbaya sana. Leo anawafanyia hivi Wasemaji wa klabu, Kesho atamfanyia utovu wa nidhamu Rais wa Yanga Boss @caamil_88 na akichekewa siku atamnyea mbovu Tajiri Gharib Mohamed. Ndio! Huyu hana dogo, anaweza kufanya chochote huyu kijana. Rejaa utovu wa nidhamu na udharimu aliomfanyia aliyekuwa Mtendaji wa @simbasctanzania @bvrbvra na tajiri na mwekezaji @moodewji

Ndugu na rafiki yangu Kaka yangu @caamil_88 nakuomba sana liangalieni kwa makini hili, Mwelezeni wazi Manara kuwa sio msemaji wa Yanga, azungumze kama shabiki wa kawaida huko vichochoroni, sio kutweza watendaji na viongozi wa timu. Vijana hawa Ali Kamwe na Priva klabu imewekeza pesa nyingi kwao, na wameanza kuleta matunda mengi kwa klabu, leo makampuni makubwa yanakuja kuwekeza kwasababu mtandao wa mashabiki umekuwa mkubwa kupitia vijana hawa wenye nidhamu, ucheshi na adabu mbele za kila mpenda soka"

View attachment 2599786
Hapa unataka tujadili nini?
 
Acha abaki hapo hapo hata kama hana cheo, awe anawanyoosha vijana wake aliowaunganishia ajira Azam Media
 
Ameandika Mwanaharakati Yericko Nyerere

"Hii haikubaliki, hii ni dhihaka, dharau na kutweza utu wa Msemaji Mkuu wa @yangasc ndugu @alikamwe na Mkuu wa Digital ndugu @privaldinho ambao ndio wana ithibati ya kuisemea Yanga na kubuni falsafa ya uongozi wa kiusemaji na mwelekeo wautakao.

Anachokifanya Ndugu Haji Manara ni kuwaingilia uhuru na ubunifu wao katika kazi na kuwafanya wajinga, akiwalazimisha wafanye kazi vile anavyotaka yeye. Hii haikubaliki. Haji si mfanyakazi wa Yanga, Bali ni rafiki wa GSM ama tuseme ni (influencer) tu, asivuke mipaka kwenda kuwavuruga vijana hawa Ali Kamwe na Privadinho ambao kwa miezi kadhaa waliyokaa pale Yanga wemeleta falsafa yao nzuri ya kiuongozi (ryrithim), ambayo imeifanya klabu ya yanga kuongeza hamasa na kuongeza uwingi wa mashabiki mitandaoni kwa sasa.

Manara aelezwe ukweli na uwazi akubali kupokea ukweli huo kwamba sio msemaji tena wa Yanga, yaani yuko nje kabisa ya mfumo wa yanga. Bado anatembea na Apedomia kichwani akiamini kwamba mafanikio ya Yanga yametokana na yeye. Anaamini kwamba yeye bado ni msemaji wa Yanga. Hii ni mbaya sana. Leo anawafanyia hivi Wasemaji wa klabu, Kesho atamfanyia utovu wa nidhamu Rais wa Yanga Boss @caamil_88 na akichekewa siku atamnyea mbovu Tajiri Gharib Mohamed. Ndio! Huyu hana dogo, anaweza kufanya chochote huyu kijana. Rejaa utovu wa nidhamu na udharimu aliomfanyia aliyekuwa Mtendaji wa @simbasctanzania @bvrbvra na tajiri na mwekezaji @moodewji

Ndugu na rafiki yangu Kaka yangu @caamil_88 nakuomba sana liangalieni kwa makini hili, Mwelezeni wazi Manara kuwa sio msemaji wa Yanga, azungumze kama shabiki wa kawaida huko vichochoroni, sio kutweza watendaji na viongozi wa timu. Vijana hawa Ali Kamwe na Priva klabu imewekeza pesa nyingi kwao, na wameanza kuleta matunda mengi kwa klabu, leo makampuni makubwa yanakuja kuwekeza kwasababu mtandao wa mashabiki umekuwa mkubwa kupitia vijana hawa wenye nidhamu, ucheshi na adabu mbele za kila mpenda soka"

View attachment 2599786
Yericko tunanfahamu, ni KOLO. Hizo sentiments zake kwa hapo zinaongozwa na ushabiki (kolo) na sio professionalism,
 
Ameandika Mwanaharakati Yericko Nyerere

"Hii haikubaliki, hii ni dhihaka, dharau na kutweza utu wa Msemaji Mkuu wa @yangasc ndugu @alikamwe na Mkuu wa Digital ndugu @privaldinho ambao ndio wana ithibati ya kuisemea Yanga na kubuni falsafa ya uongozi wa kiusemaji na mwelekeo wautakao.

Anachokifanya Ndugu Haji Manara ni kuwaingilia uhuru na ubunifu wao katika kazi na kuwafanya wajinga, akiwalazimisha wafanye kazi vile anavyotaka yeye. Hii haikubaliki. Haji si mfanyakazi wa Yanga, Bali ni rafiki wa GSM ama tuseme ni (influencer) tu, asivuke mipaka kwenda kuwavuruga vijana hawa Ali Kamwe na Privadinho ambao kwa miezi kadhaa waliyokaa pale Yanga wemeleta falsafa yao nzuri ya kiuongozi (ryrithim), ambayo imeifanya klabu ya yanga kuongeza hamasa na kuongeza uwingi wa mashabiki mitandaoni kwa sasa.

Manara aelezwe ukweli na uwazi akubali kupokea ukweli huo kwamba sio msemaji tena wa Yanga, yaani yuko nje kabisa ya mfumo wa yanga. Bado anatembea na Apedomia kichwani akiamini kwamba mafanikio ya Yanga yametokana na yeye. Anaamini kwamba yeye bado ni msemaji wa Yanga. Hii ni mbaya sana. Leo anawafanyia hivi Wasemaji wa klabu, Kesho atamfanyia utovu wa nidhamu Rais wa Yanga Boss @caamil_88 na akichekewa siku atamnyea mbovu Tajiri Gharib Mohamed. Ndio! Huyu hana dogo, anaweza kufanya chochote huyu kijana. Rejaa utovu wa nidhamu na udharimu aliomfanyia aliyekuwa Mtendaji wa @simbasctanzania @bvrbvra na tajiri na mwekezaji @moodewji

Ndugu na rafiki yangu Kaka yangu @caamil_88 nakuomba sana liangalieni kwa makini hili, Mwelezeni wazi Manara kuwa sio msemaji wa Yanga, azungumze kama shabiki wa kawaida huko vichochoroni, sio kutweza watendaji na viongozi wa timu. Vijana hawa Ali Kamwe na Priva klabu imewekeza pesa nyingi kwao, na wameanza kuleta matunda mengi kwa klabu, leo makampuni makubwa yanakuja kuwekeza kwasababu mtandao wa mashabiki umekuwa mkubwa kupitia vijana hawa wenye nidhamu, ucheshi na adabu mbele za kila mpenda soka"

View attachment 2599786
mambo ya yanga tuachie sisi wenyewe
 
Mashabiki wa Yanga wanamuogopa Manara vile hatari hata akiwanyea bado hawatamwambia lolote wanahisi manara akitoka hapo Timu yao itaharibika au atatoa siri kwa lile domo lake lisiokuwa na simile...juzi juzi hapa kawakashfu kina Ally Kamwe hao hao mashabiki wakaanza ooh mnaanza kumchonganisha Manara na Ally..nakwambia hivi mashabiki wa Yanga wanamuogopa Manara wanadhani bila yy hawawezi na wanamuombea kifungo kiishe mapema.
 
Bora ww unajielewa...Manara ni tatizo ni mchonganishi.
Hata alipokuwa Simba sikua nampenda anavyo attack watu hasa waandishi wa habari wakiongea tofauti na anachokiamini yeye..
Kama umemjulia Manara akiwa Simba bado humjui Manara, huyo ni tatizo tangu akiwa Ccm, majukwaa aliyekuwa akipanda Manara ni matusi kwa CUF na watu wa Ccm wakamjaza kichwa kwamba ndio kiboko ya CUF.

Manara ameharibika tangu akiwa Ccm haya unayoyaona leo ni madogo.

Pamoja na mema yote aliyofanya GSM kwa Yanga, lakini kitendo cha kumleta Manara Yanga ametukosea sana tena sana.

Anachokifanya Manara sasa si kwamba ana mapenzi na Yanga, Bali kisasi chake binafsi na Simba.

Nashangaa sana taasisi kubwa kama Yanga inakaa kimya kuchonganishwa na Simba wakati Yanga haina ugomvi wowote na Simba.

Manara hayupo kwenye utani wa jadi, Manara anatumia platform ya Yanga kutowa nyongo zake kwa Simba hili halikubaliki.

Na kwa watu wenye akili timamu ni kweli Manara alikuwa akiwahujumu Simba na Madam Barbara alikuwa Sahihi sana.

Muda huwa ndio unaamuwa kila kitu, kama kuna mtu wa Yanga mpaka leo haoni tatizo kwa Manara basi atafute mchezo mwingine wa kushabikia kwenye football hakumfai maana atakuwa hajui lolote kuhusu mpira.

Manara akae hukohuko GSM, ila Yanga hatumtaki kabisa.
 
Kama umemjulia Manara akiwa Simba bado humjui Manara, huyo ni tatizo tangu akiwa Ccm, majukwaa aliyekuwa akipanda Manara ni matusi kwa CAF na watu wa Ccm wakamjaza kichwa kwamba ndio kiboko ya CAF.

Manara ameharibika tangu akiwa Ccm haya unayoyaona leo ni madogo.

Pamoja na mema yote aliyofanya GSM kwa Yanga, lakini kitendo cha kuleta Manara ametukosea sana tena sana.

Anachokifanya Manara sasa si kwamba ana mapenzi na Yanga, Bali kizazi chake binafsi na Simba.

Nashangaa sana taasisi kubwa kama Yanga inakaa kimya kuchonganishwa na Simba wakati hauna ugomvi.

Manara hayupo kwenye utani wa hadi, Manara anatumia platform ya Yanga kutowa nyongo zake kwa Simba.

Na kwa watu wenye akili timamu ni kweli Manara alikuwa akiwahujumu Simba na Madam Barbara alikuwa. Sahihi sana.

Muda huwa ndio unaamuwa kila kitu, kama kuna mtu wa Yanga haoni tatizo kwa Manara basi atafute mchezo mwingine wa kushabikia kwenye football hakumfai maana atakuwa hajui lolote kuhusu mpira.

Manara akae hukohuko GSM, ila Yanga hatumtaki.
Wenye akili huko kwenu mpo mbonaa...
Wale wenye hofu na chuki na sio ushabiki watakupopoa...
 
Yanga wameanza kufungua mlango wa kubeba ubingwa msimu uliopita baada ya Manara kutua Yanga.

bila Manara Yanga wasengefika hapo walipo uo ndio ukweli.Shayo na Kamwe wapunguze Polimilai kitengo walichopo Manara anauzowefu zaidi ya miaka mitano lazima wamsikilize anapowapa ushauri hao madogo.
 
Yanga wameanza kufungua mlango wa kubeba ubingwa msimu uliopita baada ya Manara kutua Yanga.

bila Manara Yanga wasengefika hapo walipo uo ndio ukweli.Shayo na Kamwe wapunguze Polimilai kitengo walichopo Manara anauzowefu zaidi ya miaka mitano lazima wamsikilize anapowapa ushauri hao madogo.
Taahira mwingine huyu, ulaya makocha ndio wanaongea kuhusu timu, hakuna lolote la maana wanalofanya wasemaji wa Tanzania.

Labda nimewahi kuvutiwa na Masau bwire tu, wanaotaka kujifunza usemaji wa mbwembwe na utani wakajifunze kwa Masao Bwire siyo huyo taahira mwenzako Manara.
 
Taahira mwingine huyu, ulaya makocha ndio wanaongea kuhusu timu, hakuna lolote la maana wanalofanya wasemaji wa Tanzania.

Labda nimewahi kuvutiwa na Masau bwire tu, wanaotaka kujifunza usemaji wa mbwembwe na utani wakajifunze kwa Masao Bwire siyo huyo taahira mwenzako Manara.
Manara yupo juu zaidi ya Prva na Kamwe,Manara anao uwezo wa kuwaondoa hao vijana kwenye iyo nafasi kama akiamua,unabisha?
 
Back
Top Bottom