"Manabii" kwann hawakutabiri tetemeko Thailand?

"Manabii" kwann hawakutabiri tetemeko Thailand?

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,806
Reaction score
3,860
Tunao manabii kadhaa nchini. Tuseme hawakuona hili tetemeko kabla ya kutokea?
 
Thailand na Brazil dhambi nje nje thus wanatandikwa sana na nature ( Mungu) Pattaya Thailand na Brazil wanauza mchana kweupe.
 
Hata mageologist pia huwa wanapatia kwenye volcano tu lakini kwenye matetemeko huwa ni mziki mwingine.
 
Si kuna tetemeko la kukosa nguvu za kiume limetabiliwa hapa nchini mwezi ujao!, nabii kasema hali itakuwa tafrani amewaasa wadada wasitoke nje ya ndoa zao maana hata wakitoka nje napo watakutana na hali hiyohiyo!..😂
 
Hivi yule anajiita mchungaji mashimo bado yupo gerezani au yupo nje akisubili rufaa yake
 
Tunao manabii basi hapa kwetu, mimi naona kama wapiga lamli, hao mnawapelekea sadaka baadae wanawaita waumini wao wajinga, tetemeko ni purely science na sio mambo ya kubeti.
 
Wakitabiri mnasema wakamatwe kwa kuleta matetemeko hayo,mara kwann hawakuzuia yasitokee,

Rudi kwenye unabii wa 2023 yote hayo yalitabiriwa.

Na ukitenda DHAMBI, subiri mauti ambayo ni mshahara wa DHAMBI, usisubiri utabiriwe,

Mfano unazini na wake wa watu, usisubiri utabiriwe Nini kitatokea, subiri majibu. Kwa maana mshahara wa DHAMBI ni mauti.
 
Back
Top Bottom