Man utd kama chadema

Man utd kama chadema

D 007

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
206
Reaction score
147
Kibongobongo hali ilivyo sasa, Manchester ni sawa na CHADEMA, hizi timu nyingine Man City, Chelsea, Arsenal na Liverpool kwa kibongobongo ni CCM, NCCR,CUF na TLP. Kwa hiyo mambo yaendavyo sasa Manchester United wanamuona Moyes kama katumwa na vilabu vingine kuitibua, kama ambavyo inavyoonekana kibongo CHADEMA wanamuona Zito katumwa kuwatibua, Yote upepo na yataisha ipo siku mtaimba Viva Chosen One Moyes
 
Kibongobongo hali ilivyo sasa, Manchester ni sawa na CHADEMA, hizi timu nyingine Man City, Chelsea, Arsenal na Liverpool kwa kibongobongo ni CCM, NCCR,CUF na TLP. Kwa hiyo mambo yaendavyo sasa Manchester United wanamuona Moyes kama katumwa na vilabu vingine kuitibua, kama ambavyo inavyoonekana kibongo CHADEMA wanamuona Zito katumwa kuwatibua, Yote upepo na yataisha ipo siku mtaimba Viva Chosen One Moyes

ucwapendelee man n saw na TLP mpaka wakfkuza makocha watano ndo laaaabda watarud kweny chat
 
Back
Top Bottom