Man U Kushuka Daraja Mwaka Huu!

Man U Kushuka Daraja Mwaka Huu!

Hahaaaaa
Maan yo prediction is becoming true
 
Unapenda mwenyewe man u washuke daraja utasubiri sana mkuu lakini katoka kua bingwa mwaka jana tu so asipochukua mwaka huu sio issue sana kilichopo ni kuangalia mipango ya muda mrefu tu na kumbuka sir alex alisema kwamba moyes anahitaji muda ili aweze kufanikiwa.
 
Mabingwa wa "airtell " hata eufa ndogo mtaishia kuisikia kwikwikwikwi mwaka wa shetani kwa red devels
 
Wamemuuza mfungaji wao bora ferguson...hahahahahahahahahaha uuuuuuuuuh
 
Labda ubingwa hawatapata lakini hili la kushuka daraja tusubiri mzunguko wa pili.
 
Back
Top Bottom