Usiku
Senior Member
- Aug 30, 2013
- 174
- 47
.........samahani ni kushuka daraja sio kusukaman u kusuka daraja ni ndoto za mchana bro!
.........samahani ni kushuka daraja sio kusukaman u kusuka daraja ni ndoto za mchana bro!
usinilazimishe niweke kwenye orodha ya wenda-wazimu.Hali ni mbaya. Mashabiki walionekana wakihaha huku na huko. Dua lao lilikuwa ni moja tu: Ferguson rudi uokoe jahazi!
...huyu jamaa wamempa timu kumbe kimeo,anatupa presha tu...
Mkuu mwanzo ni mgumu. Hata Ferguson ilimchukua muda hadi kuanza kuvuna makombe. Kuweni na subira na Moyes. Kumbuka ni game6 tu zimechezwa. Ligi bado mbichi sana
...mkuu kuna kocha sikumbuki wa timu gani,game ya tano tu katolewa nduki, man saizi ya 12,ingawa babu alianza kwa shida lakini na timu alikabidhiwa haikuwa nzuri sana, huyu jamaa kapewa timu imesimama fresh kila idara kasoro sehemu chache tu za ulinzi lakini haleti matumaini kabisa...daaah..!
Mlizoea ubingwa wa kubebwa sasa kibabu ameondoka na mafanikio nayo yametoweka, ingawa timu ni ile ile.