man city yafanya maajabu

Sasa hapo ni Maajabu yapi Wamefanya?!
Kwani ukilinganisha kikosi cha Man City na Bayern kwa Mchezaji mmoja mmoja kipi kipo Timilifu?!!!
Kwanza wao wameenda hapo na kuruhusu japo magoli ya kufungwa, Vipi ARSENAL ambao walimpigia hapohapo Germany 2-0 last season?!!!

MI NAONA BAYERN WANAONESHA SANA UDHAIFU KWA TIMU ZA ENGLAND, PIND WANAPOKUWA NACHEZA HAPO NYUMBANI KWAO.
 
Kwan kuna ajabu gani hapo me nkajua wamebadili jina kuwa woman city labda
 
Sat 10 Nov 2012 | Villa Park | Attendance: 40,538

Aston Villa 2 - 3 Man Utd

kwa record hiyo hapo juu ya last time sijui this time na timu mbovu kama mtatoka....teh teh
 
Back
Top Bottom