Alikuwa Radio 5 kabla ya kwenda EA Radio kabla ya Fisadi Ruge Mtahaba kumuona na kumng'oa. Nilianza kumsikiliza na kumadmire nilipokuwa Arusha kupitia Radio 5. Ana sauti ya utangazaji na it's something naturally given. Sauti yake ni so distinct kiasi kwamba utamjua tu hata akienda RTD. Fetty haingizi mguu hapo