Mamluki ndani ya Magwanda ya Makamanda

Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM.

Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2.

View attachment 1873731

Habari ya mjini kwa makamanda ni:

1. Mwenyekiti wao aliyeko nyuma ya nondo kwa tuhuma zisizokubalika kwao.

View attachment 1873733

2. Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya uliosimama.

Habari ya mjini kwa wale wa ule upande mwingine ni kupalilia utengamano wowote ndani ya mahasimu wao, kwa namna yoyote.

View attachment 1873719

Hawa kama wale wengine wa walioibuka majuzi kati Dar, wanaongea lugha moja na wale wa ule upande mwingine.

Je, huu ni mwanzo wa mbingu mpya ambapo sasa kuna kukaribiana zaidi miongoni mwa baadhi ya makundi haya? Jambo la kheri maana umoja ni nguvu.

Au labda ni mwendelezo ule ule wa kuunga mkono juhudi uliozoeleka kama au ule wa wale wabunge 19, kina Lijualikali na wenzao? Almaarufu chini ya mwamvuli wa kuunga mkono juhudi?

Kwa kukaribiana huku, bila shaka makundi mapya haya yatakuwa yanakubaliana na kilichotokea Mwanza na yote yatokanayo, zikiwamo tuhuma zinazomkabili mwenyekiti wao.

Hata hivyo kinachotia shaka, wanaoyafanya haya mbele ya camera za TV hawatoi uthibitisho wowote kuonyesha kuwa wao kweli ni makamanda.

Kwa vile haupo mlango uliofungwa ndani ya Chadema ukiwamo ule wa kutokea, haiingii akilini ni vipi basi hawajapenda kuunga mkono juhudi.

Iwapo kwa kuunga mkono tu wengi wamepata ubunge, uwaziri, u RC, uDC nk ni vipi makamanda hawa kuendelea kudai wao ni Chadema damu na kuzikosa fursa zote mbele zao?

Kwa nini kuendelea kukomaa kwao wasionekane kuwa ni mamluki tu ndani ya magwanda?
"Bita ni bita tu Mura". Mamluki wanapambana kikwelikweli kuvuruga upepo wa katiba mpya. Hata hivyo hawataweza. "The constitutional reform is inevitable drive under the current environment".
 
Yaonesha wako maji ya shingo. "Vita ni art na tena si lele mama Mura!

Bita ni mateso, yataka kusubiri ikibidi na kukandamiza kwa wakati.

Bita si vya opportunists wenye kusubiri kuona mshindi ni nani wasikose matunda. Yuko wapi Mdee, Esther na wenzake?

"Bita ni bita tu Mura". Mamluki wanapambana kikwelikweli kuvuruga upepo wa katiba mpya. Hata hivyo hawataweza. "The constitutional reform is inevitable drive under the current environment".
 
Bado unaamini huu utoto kuna mtu ananunua zama hizi za kidigitali? Ww inaonekana ni mzee, au wale vijana maboya wanaovaa suruali zinazoingia subiyani, ndio maana unaamini hizi propaganda mfu zinaweza kuteka mtu. Ingekuwa ni kwenye mikutano ya wazi tena huko vijijini, ndio ungeweza kupata wajinga wawili watatu kwa kuamini huu upuuzi wako. Lakini sio huku mitandaoni kulikojaa vijana wanaojitambua. Kwa Uduni huu wa uelewa ndio maana unaona ccm wakitegemea wizi wa kura tu, maana hamna ushawishi tena kwa umma zaidi ya utoto.
wewe usiyeamini wakati huna ushahidi ndio punguani namba moja zaidi hata ya DJ mwenyewe.
 
Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM.

Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2.

View attachment 1873731

Habari ya mjini kwa makamanda ni:

1. Mwenyekiti wao aliyeko nyuma ya nondo kwa tuhuma zisizokubalika kwao.

View attachment 1873733

2. Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya uliosimama.

Habari ya mjini kwa wale wa ule upande mwingine ni kupalilia utengamano wowote ndani ya mahasimu wao, kwa namna yoyote.

View attachment 1873719

Hawa kama wale wengine wa walioibuka majuzi kati Dar, wanaongea lugha moja na wale wa ule upande mwingine.

Je, huu ni mwanzo wa mbingu mpya ambapo sasa kuna kukaribiana zaidi miongoni mwa baadhi ya makundi haya? Jambo la kheri maana umoja ni nguvu.

Au labda ni mwendelezo ule ule wa kuunga mkono juhudi uliozoeleka kama au ule wa wale wabunge 19, kina Lijualikali na wenzao? Almaarufu chini ya mwamvuli wa kuunga mkono juhudi?

Kwa kukaribiana huku, bila shaka makundi mapya haya yatakuwa yanakubaliana na kilichotokea Mwanza na yote yatokanayo, zikiwamo tuhuma zinazomkabili mwenyekiti wao.

Hata hivyo kinachotia shaka, wanaoyafanya haya mbele ya camera za TV hawatoi uthibitisho wowote kuonyesha kuwa wao kweli ni makamanda.

Kwa vile haupo mlango uliofungwa ndani ya Chadema ukiwamo ule wa kutokea, haiingii akilini ni vipi basi hawajapenda kuunga mkono juhudi.

Iwapo kwa kuunga mkono tu wengi wamepata ubunge, uwaziri, u RC, uDC nk ni vipi makamanda hawa kuendelea kudai wao ni Chadema damu na kuzikosa fursa zote mbele zao?

Kwa nini kuendelea kukomaa kwao wasionekane kuwa ni mamluki tu ndani ya magwanda?
Huwa nafikiria Dr Slaa ndiyo angekuwa na akili za Lissu mwaka 2010!
Watanzania walikuwa kwenye peak ya kuichoka CCM na kumsupport Dr Slaa, hali ingekuwaje?

Nakumbuka nilikuwa Arusha, zilikuwa siku kama 4 hali ni tense hamna mfano. Watu wako “full charged”. Wamejaa barabarani, hamna kulala! Ilikuwa inasubiliwa Dr Slaa atamke tu; sikubaliani na matokeo, nchi ingewaka moto!

Na hali ilikuwa hivyo mikoa mingi tu, Mbeya, Iringa, Mwanza, Dsm nk. Kwa ufupi ukisikia uwepo wa nguvu ya umma ilikuwa vile.

Lakini Dr. Slaa kwa busara zake aka withdrawal. Alipotea kama siku 4 bila kuongea chochote, hadi watu wakapoa kabisa. Baadaye alikuja kutamka hakuwa tayari kupokea nchi kwa mikono ya damu! Mungu ambariki!

Sasa ndugu zangu Hawa wa sasa waroho wa madaraka! Lissu katoka zake nje anahubiri vurugu tu!, akaanza kuchokoza hata polisi ili wa react na wananchi waanzishe vurugu. Baada ya uchaguzi alifikia kuwataka watu waingie mitaani! Lakini hakupata support hata kidogo! Kaimba imba wee ikabidi atafute gia ya kuondokea kwa kukimbilia ubalozini na kusingizia serikali inataka kumuua.

CHADEMA wasivyo na akili waliacha sera zinazogusa ”mass”kama kupinga rushwa, kuondoa kero za huduma mbovu za barabara, matibabu, maji, elimu wakaleta sera ya pinga pinga hata yanayowagusa watu na kufunga ndoa na ”mabeberu”, alafu bado wategemee “nguvu ya umma“! wanachekesha! Labda wawaambie wanaharakati wa Twitter wanaowaunga mkono waandamane.
 
Huwa nafikiria Dr Slaa ndiyo angekuwa na akili za Lissu mwaka 2010!
Watanzania walikuwa kwenye peak ya kuichoka CCM na kumsupport Dr Slaa, hali ingekuwaje?

Nakumbuka nilikuwa Arusha, zilikuwa siku kama 4 hali ni tense hamna mfano. Watu wako “full charged”. Wamejaa barabarani, hamna kulala! Ilikuwa inasubiliwa Dr Slaa atamke tu; sikubaliani na matokeo, nchi ingewaka moto!

Na hali ilikuwa hivyo mikoa mingi tu, Mbeya, Iringa, Mwanza, Dsm nk. Kwa ufupi ukisikia uwepo wa nguvu ya umma ilikuwa vile.

Lakini Dr. Slaa kwa busara zake aka withdrawal. Alipotea kama siku 4 bila kuongea chochote, hadi watu wakapoa kabisa. Baadaye alikuja kutamka hakuwa tayari kupokea nchi kwa mikono ya damu! Mungu ambariki!

Sasa ndugu zangu Hawa wa sasa waroho wa madaraka! Lissu katoka zake nje anahubiri vurugu tu!, akaanza kuchokoza hata polisi ili wa react na wananchi waanzishe vurugu. Baada ya uchaguzi alifikia kuwataka watu waingie mitaani! Lakini hakupata support hata kidogo! Kaimba imba wee ikabidi atafute gia ya kuondokea kwa kukimbilia ubalozini na kusingizia serikali inataka kumuua.

CHADEMA wasivyo na akili waliacha sera zinazogusa ”mass”kama kupinga rushwa, kuondoa kero za huduma mbovu za barabara, matibabu, maji, elimu wakaleta sera ya pinga pinga hata yanayowagusa watu na kufunga ndoa na ”mabeberu”, alafu bado wategemee “nguvu ya umma“! wanachekesha! Labda wawaambie wanaharakati wa Twitter wanaowaunga mkono waandamane.

Pole sana kwa kudhani unakijua unachokisema.

Kwamba ulifurahia mno kwa Dr. Slaa kuwaachia fisi butcher? Hakuna shaka utakuwa ulikuwa mmoja wa wale fisi!

Ulikula hapo kilo ngapi za kwako mkuu?

Hiiiiii bagosha!

Kwamba mnategemea amani:


Mmezoweo hakuna makabiliano? Ndiyo mnataka muendeleage kususiwa butcher tu? You must be kidding!

Safari hii:

1. Mkizungua, kinaumana.
2. Kutokushiriki uchaguzi maana yake hakuna uchaguzi.

Tutaelewana tu. Hizi si zama Dr. Slaa - Padre.

Habari ndiyo hiyo.
 
Kauzi hakaendi ngoja tukachangamshe..mbona mnyika leo kaongea shudu tu ila kwa sauti ya ukali? Hajasema kitu kipya
 
Kauzi hakaendi ngoja tukachangamshe..mbona mnyika leo kaongea shudu tu ila kwa sauti ya ukali? Hajasema kitu kipya

Kwani Wakudadavuwa ulishachangamsha nyuzi ngapi na ka ID chako hiki cha msa(h)ada?

IMG_20210731_140133_374.jpg
 
Pole sana kwa kudhani unakijua unachokisema.

Kwamba ulifurahia mno kwa Dr. Slaa kuwaachia fisi butcher? Hakuna shaka utakuwa ulikuwa mmoja wa wale fisi!

Ulikula hapo kilo ngapi za kwako mkuu?

Hiiiiii bagosha!

Kwamba mnategemea amani:


Mmezoweo hakuna makabiliano? Ndiyo mnataka muendeleage kususiwa butcher tu? You must be kidding!

Safari hii:

1. Mkizungua, kinaumana.
2. Kutokushiriki uchaguzi maana yake hakuna uchaguzi.

Tutaelewana tu. Hizi si zama Dr. Slaa - Padre.

Habari ndiyo hiyo.
Hizo nyimbo mbona mmeimba sana!
Mara nyingi tu mnadanganyana JF na Twitter, lakini “hakiumanI”

Wafuasi wa Mbowe wako kwenye ”key board” tu! Mtaani watu tunajua ni muhuni fulani anayetaka madaraka tu. Au umesahau walivyompokea Lowasa walisema wao lengo lao ni kufika ikulu tu, kwa njia gani kwao siyo hoja! Mnafikiri watanzania ni wapumbavu kiasi hicho?
 
Hizo nyimbo mbona mmeimba sana!
Mara nyingi tu mnadanganyana JF na Twitter, lakini “hakiumanI”

Wafuasi wa Mbowe wako kwenye ”key board” tu! Mtaani watu tunajua ni muhuni fulani anayetaka madaraka tu. Au umesahau walivyompokea Lowasa walisema wao lengo lao ni kufika ikulu tu, kwa njia gani kwao siyo hoja! Mnafikiri watanzania ni wapumbavu kiasi hicho?

Tupe muda tafadhali:


Tuna jambo letu j3 na j4.

Kwa msaada zaidi para ladha tokea kwake zandrano.
 
Watanzania hawataki shari na ukianzisha shari usitegemee wakakuuunga mkono , zaidi ya hapo watakuchukia na hata kukudharau na kutoungwa mkono amini usiamini ndio tulivyo.
Wewe unaewasemea watz ni wa Rwanda au wapi?
 
Huwa nafikiria Dr Slaa ndiyo angekuwa na akili za Lissu mwaka 2010!
Watanzania walikuwa kwenye peak ya kuichoka CCM na kumsupport Dr Slaa, hali ingekuwaje?

Nakumbuka nilikuwa Arusha, zilikuwa siku kama 4 hali ni tense hamna mfano. Watu wako “full charged”. Wamejaa barabarani, hamna kulala! Ilikuwa inasubiliwa Dr Slaa atamke tu; sikubaliani na matokeo, nchi ingewaka moto!

Na hali ilikuwa hivyo mikoa mingi tu, Mbeya, Iringa, Mwanza, Dsm nk. Kwa ufupi ukisikia uwepo wa nguvu ya umma ilikuwa vile.

Lakini Dr. Slaa kwa busara zake aka withdrawal. Alipotea kama siku 4 bila kuongea chochote, hadi watu wakapoa kabisa. Baadaye alikuja kutamka hakuwa tayari kupokea nchi kwa mikono ya damu! Mungu ambariki!

Sasa ndugu zangu Hawa wa sasa waroho wa madaraka! Lissu katoka zake nje anahubiri vurugu tu!, akaanza kuchokoza hata polisi ili wa react na wananchi waanzishe vurugu. Baada ya uchaguzi alifikia kuwataka watu waingie mitaani! Lakini hakupata support hata kidogo! Kaimba imba wee ikabidi atafute gia ya kuondokea kwa kukimbilia ubalozini na kusingizia serikali inataka kumuua.

CHADEMA wasivyo na akili waliacha sera zinazogusa ”mass”kama kupinga rushwa, kuondoa kero za huduma mbovu za barabara, matibabu, maji, elimu wakaleta sera ya pinga pinga hata yanayowagusa watu na kufunga ndoa na ”mabeberu”, alafu bado wategemee “nguvu ya umma“! wanachekesha! Labda wawaambie wanaharakati wa Twitter wanaowaunga mkono waandamane.
Vibaraka wa ccm mko kaxi kupiga katiba
 
Mkuu ujue kuwa kuna maccm yanayovalishwa sare za Chadema ili kuongea ujinga wao dhidi ya Mbowe na hawa ni wengine hao maccm yanayojifanya ni Chadema.
Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM.

Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2.

View attachment 1873731

Habari ya mjini kwa makamanda ni:

1. Mwenyekiti wao aliyeko nyuma ya nondo kwa tuhuma zisizokubalika kwao.

View attachment 1873733

2. Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya uliosimama.

Habari ya mjini kwa wale wa ule upande mwingine ni kupalilia utengamano wowote ndani ya mahasimu wao, kwa namna yoyote.

View attachment 1873719

Hawa kama wale wengine wa walioibuka majuzi kati Dar, wanaongea lugha moja na wale wa ule upande mwingine.

Je, huu ni mwanzo wa mbingu mpya ambapo sasa kuna kukaribiana zaidi miongoni mwa baadhi ya makundi haya? Jambo la kheri maana umoja ni nguvu.

Au labda ni mwendelezo ule ule wa kuunga mkono juhudi uliozoeleka kama au ule wa wale wabunge 19, kina Lijualikali na wenzao? Almaarufu chini ya mwamvuli wa kuunga mkono juhudi?

Kwa kukaribiana huku, bila shaka makundi mapya haya yatakuwa yanakubaliana na kilichotokea Mwanza na yote yatokanayo, zikiwamo tuhuma zinazomkabili mwenyekiti wao.

Hata hivyo kinachotia shaka, wanaoyafanya haya mbele ya camera za TV hawatoi uthibitisho wowote kuonyesha kuwa wao kweli ni makamanda.

Kwa vile haupo mlango uliofungwa ndani ya Chadema ukiwamo ule wa kutokea, haiingii akilini ni vipi basi hawajapenda kuunga mkono juhudi.

Iwapo kwa kuunga mkono tu wengi wamepata ubunge, uwaziri, u RC, uDC nk ni vipi makamanda hawa kuendelea kudai wao ni Chadema damu na kuzikosa fursa zote mbele zao?

Kwa nini kuendelea kukomaa kwao wasionekane kuwa ni mamluki tu ndani ya magwanda?
 
Soma charge sheet, makosa hayo aliyafanay August, 2020, jalada lake lilihifadhiwa tu wakijaribu kumstahi, alipoanza kuleta ujinga ndio wakaamua wamwage mboga.

Wewe ukijiona una matobo matobo usianzishe ugomvi. na hii kitu nakumbuka kweli kabla ya uchaguzi mwaka jana morogoro au pwani kuna sheli ililipuliwa, na yeye kumbe ndio alikuwa anafadhili? Inawezekana alikuwa amepitiliza mstari kwa mikakati yake na lisu kwamba wafanya kitu kitakachosababisha fujo ili wagawane madaraka kama kenya au ili CCM ife baada ya watanzania kuchinjana.

Kwa kweli kama siasa ndio hiyo, bora nisiwe mwanasiasa, kwamba unaweza kuwa tayari kumwaga damu ili tu upoke madaraka? shida aliamini Rais ni mwanamke hatamfanya kitu, na alifikiri wanamuogopa na kwamba wamarekani wangemsaidia.
Hivi ukichajua kuwa mtu fulani ni mhalifu tena wa UGAIDI unaweza kumstahi na kusubiri kile ulichokisema "...alipoanza kuleta ujinga ndipo wakaamua kumwaga mboga..."

Are you serious kweli wewe? Hivi ndiyo namna ya kupambana na uhalifu siku hizi huko katika serikali yenu nyie CCM....yaani "kuwastahi" magaidi kwa mwaka mzima mnasubiri "walete ujinga" ndiyo mnawashughulikia...?

Hiki ulichokiandika hapa si ajabu ndiyo unawakilisha mawazo ya Tanpol, TISS, CCM na serikali yake yote...

Kama hii ndiyo mbinu yenu mnayotumia kupambana na uhalifu kwa kuwa - stahi kwa muda basi kumbe nyie ndiyo majambazi na magaidi halisi...!!!
 
Back
Top Bottom