Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
- Thread starter
- #21
Wale wapo.Vip wale wanafunzi wa Zimbabwe wamepotezwa? Au bado wapo...
Niko hapa kujifunza.
Ila ilipotezea kidizaini kwa kuwa wale walikuwa watoto kwamba walitunga story zao wewnyewe.
Lakini after many years bado walisimama na dhana yao hio hio.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app