Nijuavyo mimi, ilikuwa kama una askari unafahamiana nae ukimpa laki na 30 leseni unapata class D, ukiwa unafahamiana na Trafiki leseni utapata, ukiwa unafahamiana na mfanyakazi wa TRA leseni utaletewa nyumbani. Kilichopandwa ndicho kinachotoa matunda sasa, sioni cha ajabu hapo.