Mamlaka ya Rais katika uteuzi

Mamlaka ya Rais katika uteuzi

edifice

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
58
Reaction score
21
Habari wadau,
Kama ilivyo kawaida kwamba Rais anayo mamlaka kwa mujibu wa sheria ya kutengua uteuzi hasa kwa wenye nafasi za kuteuliwa yaani Presidential appointee pale inapotokea kwamba mtumishi husika ameshindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Je, inawezekana pia kutengua uteuzi wa Mbunge/Wabunge aliokwisha kuwateua?
 
Back
Top Bottom