Jamani,leo ni siku ya 5 baadhi ya maeneo ya Arusha hasa mianzini kuelekea idara hakuna maji safi na salama.Sijui tatizo ni nini na wahusika hajatoa taarifa.Naomba nijuzwe,shida nin nini maji hakuna,hali mbaya hasa kwa wale wenye families.
AUWASA ni janga la kitaifa wanachojua ni kudai fedha kupitia yule mbwabwaji mkuu wa CCM Rama.Utasikia tangazo tangazo mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Arusha inawatanagazia wiki ijayo kutakuwa na zoezi la ukataji wa maji tafadhali lipa bili yako kukwepa usumbufu ofisi zitakuwa wazi jmosi na j2.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.