Cause and effect..Na pia mvua zikishaanza ndio na utabiri unafata, utabiri hua hauji kabla ya mvua.... maajabu mengine haya.
Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) imetoa tahadhari ya matarajio ya hali mbaya ya hewa itakayoambatana na mvua kubwa kwa siku tano.
Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Mtwara, Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba mvua hiyo huenda ikaathiri shughuli za uvuvi na usafirishaji.
View attachment 1741659
HapanaKilimanjaro haipo?
Kilimo cha huu mwaka bila bilaHapana
Nadhani zitafika huko MayKilimo cha huu mwaka bila bila
Itakua juhudi za awamu ya sitaNadhani zitafika huko May
Bado tuko awamu ya tano kaka ila rais ndio wa sitaItakua juhudi za awamu ya sita
Ahaa sawa mkuuBado tuko awamu ya tano kaka ila rais ndio wa sita
TumeifungaDaaaah Sumbawanga Haipo....
We jamaa kofi moja haliwezi kukutosha katika uhuni uliofanyia bandama yangu na mbavu zanguπππππππππShida TMA wanatumia Google kutoa matangazo yao jinga hawa. Na ukute website walizo subscribe ni zile za bure