Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) yatahadharisha ujio wa mvua kubwa kwa siku tano kwa mikoa ya pwani

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,174
4,062
Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) imetoa tahadhari ya matarajio ya hali mbaya ya hewa itakayoambatana na mvua kubwa kwa siku tano.

Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Mtwara, Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba mvua hiyo huenda ikaathiri shughuli za uvuvi na usafirishaji.

Mvua.PNG
 
Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) imetoa tahadhari ya matarajio ya hali mbaya ya hewa itakayoambatana na mvua kubwa kwa siku tano.

Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Mtwara, Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba mvua hiyo huenda ikaathiri shughuli za uvuvi na usafirishaji.

View attachment 1741659

Na huku Vifurushi navyo ni ghali kupelekea tu kuwa Idol, kule Tanesco nao najua watatukatia Umeme hivyo tutakuwa Vyumbani tukigongesha tu Mibesela kwa Wake zetu na Mimba zisizotarajiwa Kupatikana nyingi Kipindi hiki.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom