Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,908
- 4,771
TISS watasema ukweli. Lakini TISS sio main actors. Main actors ni Wanasiasa na Watendaji wakuu. Na kuna main actors kabisa pale juu. Waziri mwenye dhamana, PM, VP, KMK na P.naamini huko NCA kuna members of TISS wasema kweli kwa maslahi ya taifa
Hawa ndio waamuzi wa mwisho. Kujua kama uamuzi wao umezingatia ushauri wa TISS au haukuzungatia ni siri ya walioshauri na wao. Ila sidhani kama vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vitakubali tu kwenda kuwandoa watu kwa nguvu kwa blah blah hizi za Manongi.
Ikumbukwe pia kuna mwaka wanasiasa wazidrag hivi vyombo kwenye operation mfano, operation tokomeza ambapo iliishia kuwaondo mawaziri kadhaa. Nchimbi, Kagasheki na Matayo.
Let Damas be careful.