chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,553
- 2,073
Siku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi?
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa mamelody jambo ambalo litaleta utata kulingana na kanuni za caf.
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa mamelody jambo ambalo litaleta utata kulingana na kanuni za caf.