Wana jf chukulieni mfano kuwa; Baba kamtimua mama nyumbani then akaleta kakimwana kengine ndani, nawe ni mtoto wa kiume(25...yrs)hako ka mamdogo baba akiwa hayupo kanakutega uingie angazake umri mnaendana hamjaachana sana..UKITENGWA UTATEGEKA?(hata akina dada ambao mama zao ni masugar momy inawahusu hii...kababa mdogo kanakuvizia,je utaruka?)