Mamdogo akikutaka?

Mamdogo akikutaka?

Laana zingine hazisameheki... unaingiza uume mahali baba yako aliyekuzaa naye anaingiza??!!!
 
Wana jf chukulieni mfano kuwa; Baba kamtimua mama nyumbani then akaleta kakimwana kengine ndani, nawe ni mtoto wa kiume(25...yrs)hako ka mamdogo baba akiwa hayupo kanakutega uingie angazake umri mnaendana hamjaachana sana..UKITENGWA UTATEGEKA?(hata akina dada ambao mama zao ni masugar momy inawahusu hii...kababa mdogo kanakuvizia,je utaruka?)

Yote ni dhambi kubwa mkuu

Imeandikwa ole wake yeye alalaye na mke wa babaye
 
Hahahahahahahahahaha

hahahhaha nmkumbuka shemeji yangu mmoja aliwah kuulizwa hivi wewe fulan kwann huoi akawajibu wazee kwenye kile kikao cha ukoo nitaoa siku nyie wazee wangu mtakapoaacha kuoa.
 
kwanza huyo mdingi kayataka...mie namgegeda tuu huyo mama mdogo kwa raha zanguv

Ha ha ha mzabzab bwana,Hujatupa feedback ya mabinti WA Dodoma!na Mimi nataka nikagegede wiki ijayo
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha mzabzab bwana,Hujatupa feedback ya mabinti WA Dodoma!na Mimi nataka nikagegede wiki ijayo

bwana dom watoto wana wowowo ila sura bwana ...lakini niliambiwa nilienda wakati mbaya wanafunzi walikuwa wapo likizo labda next wekk nitie mguu nikacheki bidhaa
 
bwana dom watoto wana wowowo ila sura bwana ...lakini niliambiwa nilienda wakati mbaya wanafunzi walikuwa wapo likizo labda next wekk nitie mguu nikacheki bidhaa

vicheche wengi wa CBE huwa hawaendi likizo ,,,, ulishindwa tu kusoma ramani bwana
 
Wana jf chukulieni mfano kuwa; Baba kamtimua mama nyumbani then akaleta kakimwana kengine ndani, nawe ni mtoto wa kiume(25...yrs)hako ka mamdogo baba akiwa hayupo kanakutega uingie angazake umri mnaendana hamjaachana sana..UKITENGWA UTATEGEKA?(hata akina dada ambao mama zao ni masugar momy inawahusu hii...kababa mdogo kanakuvizia,je utaruka?)
Wewe miaka 25 nyumbani unasubiria nin hapo?
 
Wana jf chukulieni mfano kuwa; Baba kamtimua mama nyumbani then akaleta kakimwana kengine ndani, nawe ni mtoto wa kiume(25...yrs)hako ka mamdogo baba akiwa hayupo kanakutega uingie angazake umri mnaendana hamjaachana sana..UKITENGWA UTATEGEKA?(hata akina dada ambao mama zao ni masugar momy inawahusu hii...kababa mdogo kanakuvizia,je utaruka?)

Ukitegeka utakuwa ni sawa sawa na kumvua nguo baba yako mzazi, si jambo la kiungwana hata kidogo!
 
Back
Top Bottom