Mamdani raps Bashir indictment

Sasa mkuu wawauzia silaha za kuua watu wako mwenyewe na wewe una kubali hiyo ni akili mkuu? Every business requires supply and demand. If there is no demand there is no supply.

Double standards aside kwa nini kila Afrika inapo hitajika kufanya kitu kwa ajili ya watu wake tuna angalia nchi zingine? Tukiendelea kusema viongozi wa Afrika wasi shitakiwe kwa sababu kuna kiongozi wa sehemu fulani nae kafanye hivyo hivyo haja shitakiwa tuta fika lini? Issue siyo what Bush or whoever did. Hapa issue ni what Bashir did. Kama ana makosa ashitakiwe simple as that.

Mkuu exagerations zipi? Do you watch t.v and see what's happening there? Au wewe pia ni mmoja wa wale wanaoona hizo zote ni propaganda? You just have to turn on your t.v. to get just a glimpse of the situation. Whether exaggerated or not wewe unacho ona kwenye t.v. hauoni kuwa ni crisis? Let's hold accountable whoever and all that are responsible.

Nakubaliana sana na wewe kuwa si akili hata kidogo nchi za Afrika kununua silaha za kuuwa wananchi wake, lakini ningependa kuona juhudi za kumaliza haya mauaji zikihusu pia kuzuia uuzwaji wa silaha hizo kiholela, unapomwuuzia mwenda wazimu silaha unategemea nini?? Hatuwalaumu kwa makosa hayo ila tunaona wazi kuwa wamejali faida zao za kifedha tu! Mbona silaha za Nuclea zinapouzwa au ketengenezwa mahali wasipokuwa na imani napo, wako tayari kwa lolote?
 
Ndo maana wazungu wanatuona mabulicheka miaka yote. Huyu Mamdani ukisoma kile kitabu chake cha when victims become killers..ndo utaona anaongelea kwenye mantiki ipi. Hiki kitabu ni mwendelezo ule ule... Hivi hiyo truth na reconcilliation..waafrika tumeianza lini? miaka yote..it has been "truth and reconcilliation" lakini kama alivyosema muungwana hapo juu..ni kwa ajili ya wakubwa wanaotoa amri wananchi wauawe..harafu wanadai "foget and forgive" then wanarudi madarakani... And the cycle continues. Meanwhile mwananchi wa kawaida anaendelea kuishi kwa unga wa sembe kwenye kambi za wakimbizi! We have to reach a point tuone kwamba maisha ya mwafrika yana thamani. Hapa hakuna mchawi, mchawi ni sisi wenyewe. Viongozi wa Africa wanaiogopa ICC kwa sababu kule hakuna rushwa walizozizoea. Ocampo akitoa indictment...hakuna wa kui-withdraw. TATIZO LETU WAAFRIKA TUNAPENDA NA TUMEZOEA SHORT CUT YA MAMBO.

Mimi nasema tena, waafrika tukitaka kuishi na kuwa rightful members wa hii dunia tunahitaji kupingana na hawa wazungu kwa hoja. Siyo hizi longo longo za madikteta wanakutana Libya..wanaanza bla blah za kulindana. Tukubali Africa is our motherland and our responsibility but not at the expense of our compatriots. Haiwezekani wewe uue wananchi wako..harafu kesho useme eti ni conspiracy za wazungu...

I am one of those dissappointed with the so called wasomi wa Africa. They cant stand up and say the truth-atleast write the truth... Swala la Darfur tumeshaligeuza limekuwa ni wa of words against save Darfur, Amnesty International etc..yaani sisi hatuoni role yetu kama waafrika. Tulirogwa na nani??

Nani kakuambia Mamdani wanamkubali? Au hujui kuwa wanampinga kwa kuwa anawaambia ukweli wanaouficha? Umesoma kitabu chake kipya lakini na kuona anavyoonyesha jinsi historia ya ukweli kuhusu Sudan/Darfur ilivyofichwa?
 
Ahsante nakubaliana na wewe kama umesoma kitabu cha Mamdani atakuwa ameandika kwa kina. Prof. Mamdani is a well balanced intellectual na kazi yake ni ya kueshimika sana. However, kuhusu kughushi kwa takwimu na hizi NGOs naweza nikasema hivi. Kuna kitu kinaitwa constructive ambiguity yaani kwa kufanya sio ndivyo inaweza ikasaidia wakati fulani. Hizi NGO zinakuza takwimu za vifo hili dunia isituke na kuweza kuchukua hatua madhubuti. Kimaadili ni jambo baya lakini kama linaweza kuleta mwamko wa kusaidia kupunguza dhuluma katika jamii tunaweza tukasema kuna uzuri wake!

Mkuu hakuna cha constructive ambiguity hapo. Ni destructive ambiguity. Hivi ile WMD ilikuwa constructive? Mbona watu wamekufa na wanaendelea kufa kila kukicha huko Iraq kwa sababu hiyo?

Hakuna jambo baya kama kuchukua hatua bila kujua hali halisi. Hilo ndio fundisho kubwa kutoka kwenye kitabu kipya cha Mamdani. Hizo hatua huwa zinaleta madhara makubwa sana kwa kuwa hazizingatii uhalisia!
 
Mkuu exagerations zipi? Do you watch t.v and see what's happening there? Au wewe pia ni mmoja wa wale wanaoona hizo zote ni propaganda? You just have to turn on your t.v. to get just a glimpse of the situation. Whether exaggerated or not wewe unacho ona kwenye t.v. hauoni kuwa ni crisis? Let's hold accountable whoever and all that are responsible.

As a PHILOSOPHER you still simply BELIEVE on what you SEE and HEAR on TV?
 
Back
Top Bottom