Sasa mkuu wawauzia silaha za kuua watu wako mwenyewe na wewe una kubali hiyo ni akili mkuu? Every business requires supply and demand. If there is no demand there is no supply.
Double standards aside kwa nini kila Afrika inapo hitajika kufanya kitu kwa ajili ya watu wake tuna angalia nchi zingine? Tukiendelea kusema viongozi wa Afrika wasi shitakiwe kwa sababu kuna kiongozi wa sehemu fulani nae kafanye hivyo hivyo haja shitakiwa tuta fika lini? Issue siyo what Bush or whoever did. Hapa issue ni what Bashir did. Kama ana makosa ashitakiwe simple as that.
Mkuu exagerations zipi? Do you watch t.v and see what's happening there? Au wewe pia ni mmoja wa wale wanaoona hizo zote ni propaganda? You just have to turn on your t.v. to get just a glimpse of the situation. Whether exaggerated or not wewe unacho ona kwenye t.v. hauoni kuwa ni crisis? Let's hold accountable whoever and all that are responsible.
Nakubaliana sana na wewe kuwa si akili hata kidogo nchi za Afrika kununua silaha za kuuwa wananchi wake, lakini ningependa kuona juhudi za kumaliza haya mauaji zikihusu pia kuzuia uuzwaji wa silaha hizo kiholela, unapomwuuzia mwenda wazimu silaha unategemea nini?? Hatuwalaumu kwa makosa hayo ila tunaona wazi kuwa wamejali faida zao za kifedha tu! Mbona silaha za Nuclea zinapouzwa au ketengenezwa mahali wasipokuwa na imani napo, wako tayari kwa lolote?