Mambosasa amshambulia mwandishi aliyemuuliza kuhusu askari waliompiga risasi Akwilina, amtuhumu kutumwa na CHADEMA

Hahahaha uwiiiiiiiiii.......nimecheka mpaka basi eti silaha iliyoenda kumugusa akwili....dah kamanda mambobaadae unajizhushia heshima mbele ya jamii bora tyu ungekaa kimya
 
Hahaha, povu la nini tena kamanda, your reactions states how weak ÿou are
Yaani katika makamanda waioyumie weledi kwenye kazi, huyu no mmoja wao. Si engejibu yu kwa ufuoi kwamva uchunguzi unaendelea? Kwani kuna ugumu gani?
 
Kuna mda nadhani Mambosasa anakua anajuta hiyo nafasi yake maana inamtia sana majaribuni hahaha!anatiaga huruma akijitetea analinda ugali wake kwa nguvu zote lol
 
Askari hawana hatia, kwa kitendo cha kuwachukulia hatua kina mbowe ambao ndio chanzo ndo suala pekee la msingi,, Lazma ifike mahala Jeshi liwe jeshi lazima wananchi wajue Jeshi la polisi ni jeshi, sio taasisi ya Mkonge.
 
Mkuu unashangaa jeshi la polisi kufanya mambo kisiasa tu, hivi hujaona jana CAG kaomba radhi kwa ile taarifa yake? Ukitaka kujua nchi hii kweli kuna vituko. Waziri wa fedha Phillip Mpango akiwa Dodoma wiki chache zilizopita alisema deni la taifa ni 58Tr! Juzi CAG anasema ni 46Tr!! tena huku akitoa na agalizo kabisa la deni la taifa. Maajabu ya karne jana anakuja kuomba msamaha eti alitangaza kwa makosa, hayo aliyoombea jana msamaha ndio ikawa kituko cha ajabu. Kwa hao polisi wala sishangai kwani wameshatumika sana na wanasiasa.
Mkuu kwahiyo CAG na Dk Philip Mpango wanatofautiana kwenye kiwango cha deni LA taifa ?hayo ya himilivu au siyo himilivu tuachane NATO. Kama hii ni kweli basi yajayo yanafurahisha.
 
Huyo ni mambo Sasa sio kumuita kamanda,
Hana sifa ya kua kamanda kwa huo uharo anaozungumza.
Hakuna kamanda goigoi Kama huyo.

Ukishakua mtendaji wa serikali unatakiwa kuficha mahaba yako ambayo yanaweza kupelekea machafuko kwenye jamii. Tena uwe na adabu kweli kweli
 
Askari hawana hatia, kwa kitendo cha kuwachukulia hatua kina mbowe ambao ndio chanzo ndo suala pekee la msingi,, Lazma ifike mahala Jeshi liwe jeshi lazima wananchi wajue Jeshi la polisi ni jeshi, sio taasisi ya Mkonge.
Jeshi la polisi uliwahi kulisikia wapi zaidi ya hapa Tanzania?
Au jeshi la Magereza uliwahi kuliona wapi zaidi ya hapa Tanzania?

Hizi ni idara sio majeshi.
Tanzania tunalo jeshi la wananchi wa Tanzania.
Wanasiasa wanatuchanganya sana
 
Hii inadhihirisha huwezi ukatenganisha utumikashaji wa polisi na ccm dhidi ya vyama vya upinzani
 
Back
Top Bottom