seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Wanabodi kuna mambo yanafikirisha sana yote wanayosema awamu ya tano imefanya mbona ni mambo yaliyopo kwenye hotuba ya kikwete ya kufunga bunge mwaka 2015
Hivyo Kikwete alibuni mambo mengi sana na kuanza kuyatekeleza mfano Flyover za Ubungo na TAZARA ingawa sasa zimejengwa kama daraja tu
Mwaka 2015 wakati anafunga bunge kwenye hotuba yake Kikwete vijiji zaidi ya 5,000 vilipata umeme ,Sasa hii idadi ya 8000 mnajumlisha na ya Kikwete au?
Hotuba hii ya kufunga bunge chini inathibitisha hayo mwaka 2015 kikwete alipohutubia
Soma
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015
Hivyo Kikwete alibuni mambo mengi sana na kuanza kuyatekeleza mfano Flyover za Ubungo na TAZARA ingawa sasa zimejengwa kama daraja tu
Mwaka 2015 wakati anafunga bunge kwenye hotuba yake Kikwete vijiji zaidi ya 5,000 vilipata umeme ,Sasa hii idadi ya 8000 mnajumlisha na ya Kikwete au?
Hotuba hii ya kufunga bunge chini inathibitisha hayo mwaka 2015 kikwete alipohutubia
Soma
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015