Sijazoea kwasababu sijapata mtu wa kunifanyia hivyo.
Nwy, ukishamuattack unadhani utapata nafuu?
penye wengi pana mengi bro!
hapa kuna watu wengi, na vituko ni vingi pia...na kero kama zako ulizoainisha hazikwepeki mahali hapa.
PUNGUZA JAZBA MKUU...anachoamini mwenzako, hulazimishwi na wewe ukikubali.Kinachoniudhi mimi hapa JF ni baadhi ya watu kumuona J.K. Nyerere mtakatifu saaaaaana kiasi ambacho wengine hua wanakaribia ata kumpa sifa za uungu, na wengine hua wanadhani iwapo utamtaja kwa ubaya basi laana ya Mungu inaweza kukushukia na au eti huko kaburini aliko anapata habari!! Wacheni mawazo mgando kama haya, tambua hapa duniani Nyerere alikua binadamu sawa sawa na wewe na inawezekana huko aliko sasa wewe ukawa ni bora kuliko yeye.
Una akili kama ya babu yangu.
kuna zile avatars za nyoka halafu mtu kaweka kiwembe kwenye jicho halafu jicho linatoa damu,dah kinanikera balaa
mmmmmh! for this, let me reserve my comment!Hizo points zote ni za kweli,ila hilo kundi huwa linapinga kila kitu hata iwe kwa manufaa ya umma,but Mwita ye ni mwelewa
sometimes
ona sasa sijui na wewe hapa umeandika nini!huju kuwa hilo (coloured) ni kati ya yale yanayoudhi humu ndani!!
unakuta taarifaya ya kusikitisha ila wanaleta mzahanaudhika saana pale napoona mtu anaaandika maneno ya hovyohovyo wakati
unakuta jambo ni serious kama ajali na mambo kama hayo
na wale wanaopenda kuanzisha sred za hovyohovyo za uongo
na wanaozushia wenzao vifo .wanaidhalilisha jf
natamani ningekuwa mod nifutilie kwa mbali mauongo yao
na ban juu kwwa kuanzisha upupu aghrrrrrrr
Mkuu bado bado sanaaaaa
mkuu kama wapo watakuja tu kukata tamaaKuna mamluki wamelipwa, wanataka kuigeuza JF kuwa genge la kihuni. Kumbukeni kwamba JF imeshatoa mchango mkubwa sana kwa jamii kwa kuibua kashfa nyingi ambazo zimetikisa anga nyingi za nchi hii. Mfano ni Richmond. Ilianzia HAPA! Tuweni macho na hawa wahuni! Wamelipwa na mafisadi!
mmmmmh! for this, let me reserve my comment!