Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,254
Nilidhani Kutakuwa Na Hoja Ya Ukapa
Hakuna namna. Ila uwe na kipimo maana ukizidi ni tatizo.Ni kweli aisee, kuna wanawake usipowadanganya wanaona huwapendi na hauna maneno matamu matamu
mwanaume ata awe bilionare kama regnad mengi akiwa na mambo hayo yote heshima sitampa labda Heshima ya maigizo,.
ahahah ivo ivo tu!Ila si umeelewa,,,,, asante kwa masahihisho,.You too, nimevutiwa na uandishi wako. Huyu "regnad mengi" atakuwa ndugu tu na Reginald Mengi.
ahahah ivo ivo tu!Ila si umeelewa,,,,, asante kwa masahihisho,.You too, nimevutiwa na uandishi wako. Huyu "regnad mengi" atakuwa ndugu tu na Reginald Mengi.
sio kweli ... binafsi ninavyochukia uongo siamini kwamba mapenzi yanaendana na uongo. Labda kwa watoto ...hilo namba 3 hapo.
Mapenzi bila uongo hayaendi....
Pole sana..kudadek... kuna mtu anazo sifa zote kwa mpigo.. chaaaaa!!!