Mambo yaliyotikisa siku nne za Bunge;

Mambo yaliyotikisa siku nne za Bunge;

Truths

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
1,494
Reaction score
1,504
1. Uwanja wa Ndege Chato
2. Kupaa deni la Taifa
3. Sekta Binafsi
4. Wabunge wa Zanzibar
5. Kushambuliwa kwa Lissu
6. Hoja ya Mbowe


Mambo haya yote yameonyesha wazi kua Serikali haiendi sawa. Hali ni mbaya sana.
 
Mambo ya ovyo Kabisa hasa hilo la ujenzi wa Chato Airport..
Mji ambao hauna fursa zozote za kiuchumi kulazimisha uwepo wa Airport na mahali ambapo hamna hata abiria 10 wa kupanda ndege kwa uwezo wao wenyewe.
 
Uwanja mkubwa wa ndege Chato, unafanya watu washindwe kupata hata jina linalomfaa Rais wetu. Maana hata ukiwa na roho mbaya kiasi gani, angalao utaona aibu kufanya jambo kama hilo.
 
Mambo ya ovyo Kabisa hasa hilo la ujenzi wa Chato Airport..
Mji ambao hauna fursa zozote za kiuchumi kulazimisha uwepo wa Airport na mahali ambapo hamna hata abiria 10 wa kupanda ndege kwa uwezo wao wenyewe.
Kuto kulipa Madeni ya sekta binafsi ili waishi km mashetani
 
Uwanja mkubwa wa ndege Chato, unafanya watu washindwe kupata hata jina linalomfaa Rais wetu. Maana hata ukiwa na roho mbaya kiasi gani, angalao utaona aibu kufanya jambo kama hilo.
Duh! Mkuu umeongea kwa uchungu mkubwa. Hakika jambo hili litaitesa sana CCM. Mark my words
 
1. Uwanja wa Ndege Chato
2. Kupaa deni la Taifa
3. Sekta Binafsi
4. Wabunge wa Zanzibar
5. Kushambuliwa kwa Lissu
6. Hoja ya Mbowe


Mambo haya yote yameonyesha wazi kua Serikali haiendi sawa. Hali ni mbaya sana.
Mkuu Wa Bunge wa Zanzibar wamekuja na nn tena? Hizi tarakimu nyengine nimewasikia kina bashe na serukamba.. kwa faida ya sote hapa jukwaani.. tupe updates za wenzetu toka upande wa pili wa jamhuri..
 
hiyo hoja ya mwenyekiti wa CDM, mh. Mbowe iweke kwa kirefu.... maana wengine hatuoni bunge live

Nape alizuia bunge live kuwakomoa watz... naye yupo bench. malipo ni hapahapa duniani.
 
Back
Top Bottom