Aisee we jamaa mbona tunaleteana hizo...umenifanya nikumbuke kijijini kwentu aisee, napenda sana huo mrenda wa karanga yaani ugali huwa naona mdogo siku zote nikitengewa huo
Aisee...nimetoka kukandamiza Ugali wa udaga si mda sasa hii sijaelewa inaweza ikawa ndo dinner au supper, nieleweshe mkuu, maana mate yanatoka tu hapa.