Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Ndugu wanaJF,napenda kuchukua nafasi hii kuwaletea kitu kidogo kuhusu Prof. Kohi aliyekuwa Mkuu wa COSTECH.Sasa sijui hii habari inapaswa iwe kwenye vibweka vya wakubwa au hapa,admn. ataamua.
Anyway here we go:
Pale nyumbani kwake bwana Kohi Mbezi Beach Tangi Bovu pembeni ya barabara ya kwenda Goba ndipo anapoishi. Habari yenyewe ni kuwa alikuwa na mlinzi/gatekeeper kijana mmoja wa Kisukuma anafahamika kwa jina la Ngosha (jina lake halisi ni Mahona). Sasa kijana huyu amechishwa kazi na mkewe Kohi kwa sababu wanazozifahamu wao.
Ila cha kusikitisha ni kwamba baada ya kumfukuza kazi kijana huyo,mke wa Prof. Kohi akamnyang'anya ATM card yake ambayo ndiyo ilikuwa inatunza mshahara wa kijana huyo. Mpaka dakika hii kijana huyo hana pa kwenda kwa vile ATM card yake kanyang'anywa.
Kwa sasa kijana huyo anakaa kwa marafiki zake na hajajua afanye nini?
Jamani huu ni ubinadamu kweli? Mbona yeye Prof. kaondolewa kazini lakini hajanyimwa stahili zake? Ila inasemwa pia kuwa mke wa Prof. naye alikuwa tayari keshajenga kiburi sana, sijui ni kwa sababu ya cheo alichokuwa nacho mzee?
Anyway here we go:
Pale nyumbani kwake bwana Kohi Mbezi Beach Tangi Bovu pembeni ya barabara ya kwenda Goba ndipo anapoishi. Habari yenyewe ni kuwa alikuwa na mlinzi/gatekeeper kijana mmoja wa Kisukuma anafahamika kwa jina la Ngosha (jina lake halisi ni Mahona). Sasa kijana huyu amechishwa kazi na mkewe Kohi kwa sababu wanazozifahamu wao.
Ila cha kusikitisha ni kwamba baada ya kumfukuza kazi kijana huyo,mke wa Prof. Kohi akamnyang'anya ATM card yake ambayo ndiyo ilikuwa inatunza mshahara wa kijana huyo. Mpaka dakika hii kijana huyo hana pa kwenda kwa vile ATM card yake kanyang'anywa.
Kwa sasa kijana huyo anakaa kwa marafiki zake na hajajua afanye nini?
Jamani huu ni ubinadamu kweli? Mbona yeye Prof. kaondolewa kazini lakini hajanyimwa stahili zake? Ila inasemwa pia kuwa mke wa Prof. naye alikuwa tayari keshajenga kiburi sana, sijui ni kwa sababu ya cheo alichokuwa nacho mzee?