Mambo ya pasaka kwenye beach zetu

beach za Tz bado sana hakuna jipya hapo mpaka ukashangaa hivyo,yaani huyo akija huku haruhusiwi kuoga anaonekana kavaa vizuri
 
Yapo hayo mambo whether it is Pasaka or not na sijui Pasaka inahusikaje na mambo ya beach wakati watu huenda beach na kujifanyia vituko vyao as long as they have time and money....please don't insinuate...Easter is very central and honored by some of us; and we demand respect for Holy Festivals whether they are Christian or Moslem, Jewish, Hindu, Buddhist, Shinto, Bhai etc....They have nothing to do with immorality and unbecoming behavior of people...in fact, religion is there guide people to proper behavior but it is people's choice to do good or bad...
People nowdays dont honour these days brother, they justu take them as a ****ing festivals. Truth is always a truth, that it was a easter day.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom