Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

cc12

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
1,018
Reaction score
397
Habari wakuu,

Kwenye Pita pita zangu nikaona hii kitu ya huyu mtoto wa kike nikahisi kuishiwa na nguvu
-----------------------------------------------------------------------------------------
Yani wadada wahumu mmenipa raha sana,mimi pia nimeolewa mume wangu Muhaya yani hajui romance hajui katererooo nasikia tu kwenye vijiwe kama hivi kuna katerero kuchezea k kwenyewe yani ni shidaah mwaka wa 5 kwenye ndoa zaidi ya yooote mbahili kukupa hela ufanye kazi ingawa ninakazi kuhudumiwa kuna raha yake jamani.

Nilichokifanya ninamchepuko wangu wenye hela zake basi namuangalia tuuuu mm kimya kimya nafanya yangu mchepuko unanilipia shule nafanya masters yangu wala sina presure najipanga taratibu siku yeyote nikiondoka nisitetereke kabla hajanioa Muhaya alikuwa romantic balaa wakati nasoma dodoma anadrive anakuja tunaspend most of weekends ananipa hela.

Baada ya ndoa looooh kama kalishwa kitu sasa mimi simshtui wala silalamiki kwa wazazi naendelea kumpenda,kumuheshimu lakini taratibu mchepuko unaniliwaza unanipa misingi imara ya maisha yanu na wanangu wadada mstafute michepuko kisa kutombwa hakuna anaekufa kisa nyege waweza jichua taratibu ukamaliza minye.ge yote tena raha yakujichua nikubwaa wala usigombane na mume wako tafuta mchepuko wenye kujielewa uwe na hela sio mchepuko uuhonge wewe utakuwa haufanikiwi.Ukiniona mimi hautaamini kuwa ni mume wangu hanifikishi nahautaamini sina raha ya ndoa marafiki wanatamani maisha yangu kumbe hawajui mchepuko unasaidia kutuliza roho.

Asante **** yako inatusaidia kufunguka kuelimishana hii siri yangu sijamwambia mtu miaka mingi najisikia mwepesi kuitoa kwenu bila kuathiri ndoa yangu marafiki siwaamini hata kidogo.

ASANTENI NAWAPENDA
-------------------------------------------------------------------------------------------
Sasa najichukulia mfano ndo yananitokea mimi japo umri mdogo ndo nakuja jua siku hiyo mamaa cc12 anachepuka na story yake na mchepuko hivyo nahisi nitazimia kabisa.

All in All kama akili ni Nywele huyu binti anakipilipili

Nawasilisha
 
cc12

Kwanini humfundishi mmeo sasa!; mpe mada muijenge achana na michepuko ,siku yakikuibukia utalia ,tikisa kiberit tu
 
Last edited by a moderator:
Kwanini humfundishi mmeo sasa!; mpe mada muijenge achana na michepuko ,siku yakikuibukia utalia ,tikisa kiberit tu

Wengi huwa wanajua kula pesa za watu lakin iko siku utalia na kusaga meno si kila pesa ya kidume ni ya kuwaliwa tu zingine wawe wananaangaliaga
 
Huyo demu akimuavha mumewe akienda kwa mchepuko atakutana na yake yake aliyoyaacha nyuma.
Ndio maana mnaambiea ndoa ndoano
 
Wanawake akili hamna kabisa weee endelea tuuuu na huuu mchepuko ukikukinai yatakua kama ya mumeo kwa maana hamna namna sasa na mchepuko ukikukinai tafuta mwingine maisha yasonge
 
Huyo demu akimuavha mumewe akienda kwa mchepuko atakutana na yake yake aliyoyaacha nyuma.
Ndio maana mnaambiea ndoa ndoano


Hii imenikumbusha ya yule jamaa ambaye mke wake alibakwa na majamaa
 
Siwezi kumlaumu huyu dada, "kisa mkasa" hiki ni ushahidi au ni picha yenye kaonyesha jamii yetu ni ni jamii ya aina gani. Jamii yetu imejaa watu wasiojitambua na wasiopenda kuyakabiri matatizo. Kama msomi wa kiwango cha shahada ya uzamili ana fikra za hivi tutegemee nini.

Pamoja na kuwa na kazi fikra zake yeye ni kuhongwa. Mtu wa aina hii atakataa vipi kutoa "pete" kama mwombaji ana pesa. Ndio maana mabinti na madada wengi mmejigeuza kuwa vyombo vya starehe badala ya kuwa "Mama".

Siku zote nguvu ya mwanamke ipo kwenye ushawishi ndio maana wote tu mashahidi kwa yaliyomkuta Samson kwa Derira. Unashindwa vipi kutumia ushawishi "kumshape" mumeo ktk namna uipendayo.
 
Mtoto wa kike unashindwa hata kutumia tafsida khaa cc12
 
Last edited by a moderator:
Ni vyema kukabiliana na tatizo mapema kuliko kuongeza ukubwa wake
 
Ni vyema kukabiliana na tatizo mapema kuliko kuongeza ukubwa wake


Perfect kabisa lakin akili hana alafu anachukua masters elimu haijamkomboa kabisa huyu
 
Very sorry my dear brother cc12
 
Last edited by a moderator:
Very sorry my dear brother cc12

Usijali mkuu heri wew kidog maneno ya kawaida kuna jamaa amekuja mpk inbox anasema eti anataka anifundishe mambo ya kitandani yeye ni muhaya alafu anajina la Kitech kabisa sasa najiuliza kwanin Jf waliweka sehemu ya Bio?pamoja sana mkuu Mbushuu
 
Last edited by a moderator:
Siwezi kumlaumu huyu dada, "kisa mkasa" hiki ni ushahidi au ni picha yenye kaonyesha jamii yetu ni ni jamii ya aina gani. Jamii yetu imejaa watu wasiojitambua na wasiopenda kuyakabiri matatizo. Kama msomi wa kiwango cha shahada ya uzamili ana fikra za hivi tutegemee nini. Pamoja na kuwa na kazi fikra zake yeye ni kuhongwa. Mtu wa aina hii atakataa vipi kutoa "pete" kama mwombaji ana pesa. Ndio maana mabinti na madada wengi mmejigeuza kuwa vyombo vya starehe badala ya kuwa "Mama". Siku zote nguvu ya mwanamke ipo kwenye ushawishi ndio maana wote tu mashahidi kwa yaliyomkuta Samson kwa Derira. Unashindwa vipi kutumia ushawishi "kumshape" mumeo ktk namna uipendayo.


Mkuu ile kauli ya Wanawake wamekalia uchumi sijui kama umewahi?sina maana ya kuwa mak***o ndo uchumi lakin???????
 
Usijali mkuu heri wew kidog maneno ya kawaida kuna jamaa amekuja mpk inbox anasema eti anataka anifundishe mambo ya kitandani yeye ni muhaya alafu anajina la Kitech kabisa sasa najiuliza kwanin Jf waliweka sehemu ya Bio?pamoja sana mkuu Mbushuu

Unamweleza tu ukweli ka amekaidi unamdharau tu mana c binadamu wote tupo sawa upstairs ila pole kwa maswahibu mkuu
 
Last edited by a moderator:
Huyu dada naye sijui vipi..badala ya kumueleza mume wako anachotaka kakimbilia nje..sasa jamani kuna kujisahau na kuwa comfortable, unataka mwenzako aote kwamba huridhiki? hahahaaa..lkn hii ni side moja ya stori, i wonder side nyngne inasemaje..dah
 
Back
Top Bottom