Mambo ya kuzingatia kwa wanaume wenye umri chini ya miaka 45

Kilitokea nini mkuu mpk kuacha huduma nzuri uliyokuwa nayo?
 
naunga mkono hoja kwa 100%
but pia kuwa mjuvu wa mambo mengi,usipitwe tu kizwazwa,ukipata chance uwe unasomasoma vitu tofauti tofauti,bila kusahau kupitapita JF kuzoa naujuzi kama haya ya bure tu,bravo mtoa mada.
 
Aaaassh mkuu umesahau moja hii nazani ingekaa no 2 jifunze ukakamavu kitandani mana ukiwa mvivu kitandani ni lazima utachapiwa na utaishia kulalamika tu pia kwa umri ni lazima kumuomba mungu uwe umeshaweza kuhama nyumabani kwenu na kwenda kujitegemea
Mkuu, kwani aliposema linda afya yako wewe hukuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…