Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze Mbio muda wowote kikinuka unapaa sio unakuwa na tumbo kubwa kama Beseni.
Kilitokea nini mkuu mpk kuacha huduma nzuri uliyokuwa nayo?Hii nimeipenda mno, kitu pekee ambacho sina hapo ni namba 1. Miaka inavyo kwenda na imani yangu inafifia, mambo ya Mungu haya make sense kabisa kwangu siku hizi. Nikikumbuka nilipokua kijana nilikua nakwenda kuhubiri injili masokoni na mashuleni, the more I studied the bible, the less it made sense
Mkuu, kwani aliposema linda afya yako wewe hukuelewa?Aaaassh mkuu umesahau moja hii nazani ingekaa no 2 jifunze ukakamavu kitandani mana ukiwa mvivu kitandani ni lazima utachapiwa na utaishia kulalamika tu pia kwa umri ni lazima kumuomba mungu uwe umeshaweza kuhama nyumabani kwenu na kwenda kujitegemea
Hata sijui turning point ilikua wapi, nilijikuta tu siku zinavyo kwenda mtizamo wangu unabadilika polepoleKilitokea nini mkuu mpk kuacha huduma nzuri uliyokuwa nayo?
hii ipo kwenye namba tatu sema hajaitaja hii nayo ni self defenceJifunze Mbio muda wowote kikinuka unapaa sio unakuwa na tumbo kubwa kama Beseni.
Dahhh hii kalii sana sio kijana mdogo kitambi kule kama huna mambo ya msingi ya kufikiriaJifunze Mbio muda wowote kikinuka unapaa sio unakuwa na tumbo kubwa kama Beseni.