Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
Facebook bhana Ina mambo mengi sana ya kushangaza ambayo watu wengi walikua hawajui kha wanaweza kuyafanya kwenye Simu zao.
Wageuze marafiki kuwa followers
hivi unafahamu Facebook wameweza kuweka kipengele Cha kugeuza watu wanaokuomba urafiki kuwa followers wako Yani mtu mtu akitaka kumuomba urafiki atakutana na neno follow him / her
. fanya hivi
ingia Facebook>> setting & privacy >> public post >> who can follow me >> weka public
Wajue watu gani wanatumia akaunti yako
ukitaka kujua kama akaunti unayotumia huko pekee yako au
mko wengi mnaotumia fanya hivi ingia setting >> security & login utaweza kuangalia ni vifaa vingapi vinatumia akaunti yako ya Facebook.
Ongeza ulinzi kwenye Facebook yako
kama akaunti yako ni biashara ni muhimu kuongeza ulinzi wa akaunti yako ili kutoweza kuibiwa akaunti yako . ingia setting >> privacy & security > Enable two factor authentication kwa kuweza kupata code Kila unapotaka kuingia kwenye akaunti yako.
Unaweza kuset nani wa kuangalia post zako
Facebook wametuletea maujanja ya kuweka kuweza kuset nani wa kuangalia post zako kwa kuweza kuchagua everyone , friends, friends of friends, or just specific people. Hivi unaweza ukachagua restrict picha zako mtu asione mpaka utapoweka public.
Angalia ni kwa kiwango unatumia sana Facebook
fb wametuletea njia rahisi ya kuweza kuangalia ni kiwango gani Cha muda unatumia sna kwenye Simu yako. fanya hivi ingia kwenye Facebook yako >> Kisha gusa kwenye mistari mitatu >>setting & privacy > your time on Facebook.
Pakua taarifa zako za Facebook
unahitaji kupata taarifa zako zote kuhusu picha ulizo share fb , video , message ulizotuma na kutumiwa uweze kuwa nazo fanya hivi ingia setting >> Facebook your information>> download your info.
Chagua Mtu wa kutumia akaunti yako baada ya wewe kufa
inaonekana kama jambo la kushangaza ila ndo uwalisia Kila mtu atakufa. Facebook wametuletea njia ya mtu kuendeleza akaunti ya mtu aliyekufa fanya hivi ingia setting >> general >> memorization setting > edit on desktop Settings > Personal Information > Manage Account Kisha chagua legacy contact.
Ebu tuambie ulikua unajua hayo au ndo tunakujuza tuachie maoni Yako ?
Teknolojia ni Yetu Sote
#bongotech255
Wageuze marafiki kuwa followers
hivi unafahamu Facebook wameweza kuweka kipengele Cha kugeuza watu wanaokuomba urafiki kuwa followers wako Yani mtu mtu akitaka kumuomba urafiki atakutana na neno follow him / her
. fanya hiviingia Facebook>> setting & privacy >> public post >> who can follow me >> weka public
Wajue watu gani wanatumia akaunti yako
ukitaka kujua kama akaunti unayotumia huko pekee yako au
mko wengi mnaotumia fanya hivi ingia setting >> security & login utaweza kuangalia ni vifaa vingapi vinatumia akaunti yako ya Facebook.Ongeza ulinzi kwenye Facebook yako
kama akaunti yako ni biashara ni muhimu kuongeza ulinzi wa akaunti yako ili kutoweza kuibiwa akaunti yako . ingia setting >> privacy & security > Enable two factor authentication kwa kuweza kupata code Kila unapotaka kuingia kwenye akaunti yako.
Unaweza kuset nani wa kuangalia post zako
Facebook wametuletea maujanja ya kuweka kuweza kuset nani wa kuangalia post zako kwa kuweza kuchagua everyone , friends, friends of friends, or just specific people. Hivi unaweza ukachagua restrict picha zako mtu asione mpaka utapoweka public.
Angalia ni kwa kiwango unatumia sana Facebook
fb wametuletea njia rahisi ya kuweza kuangalia ni kiwango gani Cha muda unatumia sna kwenye Simu yako. fanya hivi ingia kwenye Facebook yako >> Kisha gusa kwenye mistari mitatu >>setting & privacy > your time on Facebook.
Pakua taarifa zako za Facebook
unahitaji kupata taarifa zako zote kuhusu picha ulizo share fb , video , message ulizotuma na kutumiwa uweze kuwa nazo fanya hivi ingia setting >> Facebook your information>> download your info.
Chagua Mtu wa kutumia akaunti yako baada ya wewe kufa
inaonekana kama jambo la kushangaza ila ndo uwalisia Kila mtu atakufa. Facebook wametuletea njia ya mtu kuendeleza akaunti ya mtu aliyekufa fanya hivi ingia setting >> general >> memorization setting > edit on desktop Settings > Personal Information > Manage Account Kisha chagua legacy contact.
Ebu tuambie ulikua unajua hayo au ndo tunakujuza tuachie maoni Yako ?
Teknolojia ni Yetu Sote

#bongotech255


