Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,645
- 7,122
Wewe unaona kutoa apple ID kwenye simu unazoletewa za wizi ndo deal.niondolee upumbavu wako!! Unijui na Wala sitaki unijue Mimi nimeanza kutengeenza simu toka 2000.najua humuimu wa kusoma toka kwa qualified people.Watanzania wengi mnapenda shortcuts.kama wewe.daima uwezi jiita fundi Kama ujasomea hicho unachofanya period.Maswala yako ya DIT usituletee kwenye huu uzi, wewe unafikiri huko DIT walimu wanatoka india? huko DIT wakiweza kufundisha namna ya kuondoa apple id kwenye iPhone nitaenda kwa mbio zote.
Watu tunauzoefu wa kazi miaka na miaka leo hii unambie niende DIT ukanifundishe nini cha ziada? Au kipi kigeni?
Wewe ni std 7 unaforce watu wakubaliane na umburura wako pumbavu sana wewe

