rosemarie JF-Expert Member Mar 22, 2011 6,887 3,412 May 16, 2011 #1 mbona kelele zilikuwa nyingi sana kuhusu mambo ya katiba mpya?mbona mambo yamekuwa kimya ghafla?au ilishatengenezwa?
mbona kelele zilikuwa nyingi sana kuhusu mambo ya katiba mpya?mbona mambo yamekuwa kimya ghafla?au ilishatengenezwa?
pangalashaba JF-Expert Member Jan 10, 2011 1,275 1,509 May 16, 2011 #2 ile single ilishachuja,si unajua tena bongo kwa kutoa single. sasa hv magamba ndo inaheat!
F FredKavishe JF-Expert Member Dec 4, 2010 1,090 318 May 16, 2011 #3 Hi ndo tz bana babu loliondo alisaidia sana now magamba na ccj ya nape hii nchi ni kufikirika kweli