Mambo ya harusi hayo

Acha wabebe, unatoa laki unapewa laga mbili tu.
halafu unaweza kukuta ni sherehe ya kilokole (haina laga) lakini kwa kiherehere chao wakataka kiwango cha chini kwa single eti kiwe 100,000/= (laki)
wanabania kupamba ukumbi na kuvalisha maviti manguo, na kununua bati na kiwanja cha maharusi
 
acha jamaa ajilipe maana haya mambo ya "minimum mchango"!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…