Mambo ya facebook!!!!!

hahahhaaaa Mimi ni Singo Mani, so we know how to get through!!!!

CC: MANI
Mmmmh Elli kuna siku kaniambia anatoka honeymoon yeye au nae anadanganya lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
jamani sijui tuwafiche wapi watoto wetu
kwani facebook, instalgram, twitter na whatsapp
zinawaharibu maana mpaka wanafeli mitihani
muda mwingi wako na visimu, vilaptop hawasomi
kabisa na hawana chochote cha kujenga zaidi ya
kuwabomoa akili zao sijui tufanyeje INANIUMA SANA
 
Join WhatsApp group 0712452867 →→→→pamoja kwa umoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…